Nianzie wapi kuacha?

Speaker

JF-Expert Member
Aug 12, 2010
6,324
2,238
Wadau sio kwamba sijui madhara yake,...najua sanaaaa!

Nimeshauri watu na kuwafundisha madhara yake mara nyingi,ila mie nashindwa kuacha.
ikitokea nimeacha basi ni week moja basi narudia ,....nipeni ujanja wa kuacha

"KUJICHUA" sijui kama naeleweka maana kitendo hiki kina majina mengi sana!
Kila napo maliza kujichua nahuzunika sana kwa kufanya hivo. :sad:
 
Wadau sio kwamba sijui madhara yake,...najua sanaaaa!

Nimeshauri watu na kuwafundisha madhara yake mara nyingi,ila mie nashindwa kuacha.
ikitokea nimeacha basi ni week moja basi narudia ,....nipeni ujanja wa kuacha

"KUJICHUA" sijui kama naeleweka maana kitendo hiki kina majina mengi sana!
Kila napo maliza kujichua nahuzunika sana kwa kufanya hivo. :sad:

Dawa yake mtafute mama Big tu, iyo yote inaisha .......... au wewe jinsia nyingine
maana hapa ianbidi tuwekewe na jinsi za watu ............... ila mama Big anachukua
wateja wote :peep:
 
Wadau sio kwamba sijui madhara yake,...najua sanaaaa!

Nimeshauri watu na kuwafundisha madhara yake mara nyingi,ila mie nashindwa kuacha.
ikitokea nimeacha basi ni week moja basi narudia ,....nipeni ujanja wa kuacha

"KUJICHUA" sijui kama naeleweka maana kitendo hiki kina majina mengi sana!
Kila napo maliza kujichua nahuzunika sana kwa kufanya hivo. :sad:

wasiliana na huyu....
 

Attachments

  • chua.jpg
    chua.jpg
    33.4 KB · Views: 73
Mh............. mbona mnatuchanganya>?? wengine wanasema ni kwa afya hakuna madhara na ni salama kwa kuwa inakukinga na maradhi...............mtaalamu weye wasema ina madhara lol....... bora uwe na permanent source kama Bio nyakomba MJ1 hapa.
 
Mh............. mbona mnatuchanganya>?? wengine wanasema ni kwa afya hakuna madhara na ni salama kwa kuwa inakukinga na maradhi...............mtaalamu weye wasema ina madhara lol....... bora uwe na permanent source kama Bio nyakomba MJ1 hapa.

Yes,inakinga maradhi ni kweli,lakini tatizo lake ni kwamba inafanya mishipa kuwa dhaifu kiasi kwamba unashindwa kisimama kwa mda mrefu au ukisimama unakua tepe tepe maana kujichua hakuhitaji uwe "hard" sana!
 
Dawa yake mtafute mama Big tu, iyo yote inaisha .......... au wewe jinsia nyingine
maana hapa ianbidi tuwekewe na jinsi za watu ............... ila mama Big anachukua
wateja wote :peep:

mmmmh,mwaya!

Mi nafanya hivi sio kwa sababu sina mchumba au vipi ila naogopa "mdudu" na mimi ni kidume kabisaaaaa
 
Mh............. mbona mnatuchanganya>?? wengine wanasema ni kwa afya hakuna madhara na ni salama kwa kuwa inakukinga na maradhi...............mtaalamu weye wasema ina madhara lol....... bora uwe na permanent source kama Bio nyakomba MJ1 hapa.

Umesomeka bibie .............. salama au macho yangu ?! :smile:
 
Madhara yapo ndugu tena makubwa. Epuka upweke, picha za ngono, kama una mpenzi jaribu kuwa nae karibu na kufanya nae mapenzi mara kwa mara. Hii itaondoa hisia za kujichua. La sivyo jiandae kwa UTI, kupungua nguvu ya kiume n.k
 
Wadau sio kwamba sijui madhara yake,...najua sanaaaa!

Nimeshauri watu na kuwafundisha madhara yake mara nyingi,ila mie nashindwa kuacha.
ikitokea nimeacha basi ni week moja basi narudia ,....nipeni ujanja wa kuacha

"KUJICHUA" sijui kama naeleweka maana kitendo hiki kina majina mengi sana!
Kila napo maliza kujichua nahuzunika sana kwa kufanya hivo. :sad:

Pole sana Kaka.
Jitaidi kukamilisha mambo yako ili uoe huenda itakuwa ndo suluhisho lake. :violin:
 
acha uwoga
sa utaish ivo mpk lin?
ebu kuwa MAN tafuta demu wako bwna
sa ukiendelea ivo utzaaje?mkono haubeb mimba kumbuka...we mbegu zote unamwagia kiganjan kiganja hakibeb mimba
--kuwa makin+muombe mungu akusaidie kumpata aliyetulia then ufanye kweli na ili tatizo lako ltaisha bt kwa mwendo uo wa MPZ MKONO autaweza kuacha...
POLE.
MUOMBE MUNGU AKUPE UJASIRI NA AKUONYESHE EVA WAKO+MPIME B4 KU DO =KUACHA NYETO
 
Madhara yapo ndugu tena makubwa. Epuka upweke, picha za ngono, kama una mpenzi jaribu kuwa nae karibu na kufanya nae mapenzi mara kwa mara. Hii itaondoa hisia za kujichua. La sivyo jiandae kwa UTI, kupungua nguvu ya kiume n.k

mkuu,naomba nifafanulie UTI inatokana vipi na kujichua???
 
acha uwoga
sa utaish ivo mpk lin?
ebu kuwa MAN tafuta demu wako bwna
sa ukiendelea ivo utzaaje?mkono haubeb mimba kumbuka...we mbegu zote unamwagia kiganjan kiganja hakibeb mimba
--kuwa makin+muombe mungu akusaidie kumpata aliyetulia then ufanye kweli na ili tatizo lako ltaisha bt kwa mwendo uo wa MPZ MKONO autaweza kuacha...
POLE.
MUOMBE MUNGU AKUPE UJASIRI NA AKUONYESHE EVA WAKO+MPIME B4 KU DO =KUACHA NYETO

Asante sis,ila am not single tatizo no distance tu kati yetu ndo inasababisha haya yote.
Ila asante sana,i will take the "pray" advice
 
Pole sana Kaka.
Jitaidi kukamilisha mambo yako ili uoe huenda itakuwa ndo suluhisho lake. :violin:

mmmh,yeah itabidi nisubiri kuoa ila kabla ya kufika huko cha moto ntakua nimekiona
 
Madhara yapo ndugu tena makubwa. Epuka upweke, picha za ngono, kama una mpenzi jaribu kuwa nae karibu na kufanya nae mapenzi mara kwa mara. Hii itaondoa hisia za kujichua. La sivyo jiandae kwa UTI, kupungua nguvu ya kiume n.k

nimepata point yako mkuu,thanks
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom