Nianzeje kumsemesha?

Nianzeje kumsemesha?

Joined
Apr 13, 2015
Posts
22
Reaction score
5

Kuna dada tunaishi naye mji mmoja na huwa siku zote naogopa kumueleza hisia zangu jinsi alivo ni yupo serious mda wote, nampenda sana. Katika pitapita zangu jana nikakutana nae nikafanikiwa kupewa namba ya simu.

Kumpigia bado anaonekana yuko mbali sana japo sijui ndo alivo! Na kwakuwa namfahamu nataka kumuoa ila najaribu kufikiri nitumie njia gani japo hadi sasa hivi sijaongea nae lolote.

Jamani ushauri wenu

 
nswambe george

Mpaka unataka kuoa bado domozege wala hayuko serious ni woga wako tu huo na madomozege wako hivyo sasa mpaka namba ya simu umepewa unashindwa hata kutuma msg au na mkono nao mkonozege
 
Last edited by a moderator:
Mpaka unataka kuoa bado domozege wala hayuko serious ni woga wako tu huo na madomozege wako hivyo sasa mpaka namba ya simu umepewa unashindwa hata kutuma msg au na mkono nao mkonozege

Jaman mtu akiomba msaada si unamsaidia au? hatuko sawa bana....
 
nswambe george

Kama Alikupatia Namba Yake Nitumie Mm Kupiti PM then nitakupatia jibu
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom