Just imagine kama girl ana kitambi halafu amevaa G-string,sidhani kama itavutia kivile,kama she is slim au namba 8 halafu hana kitambi hata asiwe na unene wa kule nyuma yaani inafiti mana huwa inadatisha sana ikiwa na sare yake kule kwenye boobs. teh teh teh {i'm just thinking}
Ningekua siziwezi fujo mi ndo ningeomba uache....btw akili ya kuazima ni bora kuliko kutokua nayo kabisa!!!KALALE!teh teh teh teh ..kila mtu afikirie kama wewesi kihama.. akili yenyewe yakuazima ..tulia basi kidigo mami ..acha fujo usizoziweza..
Kweli ehhhhhhh?!Lizzy lol!
teh teh teh lol
No comment ....
Ningekua siziwezi fujo mi ndo ningeomba uache....btw akili ya kuazima ni bora kuliko kutokua nayo kabisa!!!KALALE!
Aiseeee .....Kweli nakuambia,utaficha ila tunatumia darubini kali
Teh teh teh,mbona hivo ,kuna dalili ya unene nini?kama ipo fanya mazoezi,kamua limao moja siku ya kwanza na unywe,siku ya pili limao mbili,siku ya 3 limao 3 mpaka siku ya 15 kunywa limao 15,ukifika siku ya 15,anzia hiyo logic kuja chini.kamua limao 14 na,siku lingine 13 mpaka urudi moja utakuwa slim.
Nikalale nimwachie nani internet ya kuazima!!teh teh teh ..haya bwana ngoja nika lale..hakikisha unaoga na kupiga mswaki maana tahhh nway usiku mwema ...
Nikalale nimwachie nani internet ya kuazima!!
Unakuta girls wa siku hizi underwear zao zina kamba nyembamba ambazo zinafunikwa na makalio,kwa hiyo makalio yanakuwa nje na kamba imefunikwa na mfereji wa makalio,sasa hapo inavaliwa kwa sababu gani?kufunika makalio au makalio kufunika underwear?
Kheeee....kwani kuvaa bukta na gagulo kunapunguza nini?!Usihangae....nimeguswa!Mkuu hiyo ndio chachandu yenyewe, ama ulitaka wavae bukta na gagulo?
Kuna sehemu inamsugua na kumpa burudani flani.hujamwuliza raha ya kamba ipo wapi?
unajuwa imegundua kuwa mambo mengi ya mavazi tkinadada wanaiga toka nje,na hawa watu wa nje huvaa nguo zao kutokana na hali ya hewa ilivyo,sasa kwa mfano
1. inapofika kipindi cha baridi yaani pale barafu linapo anza kuanguka wao huvaa jinsi za kubana ili kuto ruhusu mwili kupoteza joto kiurahisi,na pia huvaa makoti mazito na kufia tuziitazo mzura kwa hapa bongo,yaani kipindi hicho cha baridi hata mikono na shingo huwa na mavazi yake
hata kipindi cha baridi utakuta chupi zao si nyepesi huwa ni nzito
2. kipindi cha joto hususani kina DADA ama WANAWAKE wao huvaa nguo nyepesi sana zisizobana ili kuruhusu hewa kuweza kupooza mwili na kunawengine wanatamani hata kutembea unchi hapo sasa utakuta hata chupi wanazo vaa ndani huwa zinabadilika kutoka na hali ya hewa
kwa kipindi cha joto chupi zao huwa ni za kuzuia ile sehemu ya haja ndogo tu, na mala nyingi hii hutokea pale mwanadada anapo kuwa ktk zile siku zao ili hiyo chupi imsaidie kushika ile pade na isiruhusu majambos kumwagika wakati akiwa ktk shughuri zake za kawaida.
kwa kweli hata ukienda dukani kwa lengo la kununua nguo,utakuta kila kitu kimebadilishwa nguo zinauzwa kulingana na hali ya hewa ya wakati huo
yaani kama ni baridi utakuta nguo za kuzuia baridi na kama ni joto utakuta nguo za kupambana na joto
na tunavyo ongelea joto ama baridi tunamaanisha,hali ya hewa hubarika na huwa ni tofauti na kama nyumbani bongo
Sasa basi wanawake wa Kiafrika na hata vijana wa kiume wa kiafrica hulazimika kuvaa mavazi hata kama hali ya hewa hairuhusu hufanya hivyo kutokana na mazingira tuliyo nayo.
kwahiyo nia yao ni njema tu,kuvaa kulingana na hali ya hewa,labda wanaume ndio tunawachukulia tofauti