The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,320
- 117,613
Nimejaribu mno kujaribu kuelewa faida za watu waende kujiunga JKT SIJAZIONA. Na nimejaribu sana kuona faida za wabunge nao kujiunga na mafunzo ya JKT sijaona!
Wanasema eti wanafundishwa uzalendo? Seriously? Uzalendo unafundishwa JKT kwa miezi hiyo michache?
Binafsi naona hasara kwa Taifa:
Kwanza pesa za walipa kodi zinazotumika, Pili JKT ni PIKNIKI tu fulani kwani nionavyo mimi haina tofauti na watoto wa shule ya msingi na skauti.
Sanasana kuna hatari ya kuandaa majambazi kwa kupitia hayo mafunzo! Watu watakuwa majasiri while hawana ajira so watajikuta wana skillz za kufanyia ujambazi na kwa wabunge wanachopata ni cheap publicity tu as if wamefanya la maana saana; ni ujinga mtupu....
Wanasema eti wanafundishwa uzalendo? Seriously? Uzalendo unafundishwa JKT kwa miezi hiyo michache?
Binafsi naona hasara kwa Taifa:
Kwanza pesa za walipa kodi zinazotumika, Pili JKT ni PIKNIKI tu fulani kwani nionavyo mimi haina tofauti na watoto wa shule ya msingi na skauti.
Sanasana kuna hatari ya kuandaa majambazi kwa kupitia hayo mafunzo! Watu watakuwa majasiri while hawana ajira so watajikuta wana skillz za kufanyia ujambazi na kwa wabunge wanachopata ni cheap publicity tu as if wamefanya la maana saana; ni ujinga mtupu....