Ni yupi rais atakae tawala 2015.

Ni yupi rais atakae tawala 2015.

John mungo

JF-Expert Member
Joined
Dec 8, 2013
Posts
1,008
Reaction score
1,029
Jamanie tujaribu kubashiri kwenye urais wa 2015.Kuwa kiongozi gani atakuwa rais 2015. unae mpenda mtaje . Kiroho safi.
 
Mi naona mtu mwenye nia ya dhati ya kututoa hapa tuliko na kutuwezesha tujisogeze kwenye neema zaidi anafaa.
Tuepuke na mtu mwenye majibu marahisi kwenye maswala magumu, kwa mfano kutatua tatizo la elimu ni kuondoa div 0 na kuweka div 5 au kushusha viwango vya ufaulu, mf. hadi point 24 ni div II, huo ni uwenda wazimu. Huyo afai hata kuwa kiongozi wa familia yake.
Mtu wa namna hiyo anapandikiza mabomu katika nchi yetu, ambayo si rahisi kuyatengua. Tuepukane ha huyo. afai yeye pamoja na washirika wake wote.
 
St.ignatues loyolo.
Huyo anafaaaaaaaaa!!

Asante mkuu kuanzia leo nakesha nikisoma kwa bidii halafu na kuwa mpole ili nisichafue cv yangu.kuanzia tarehe ya leo yeyote niliyewahi kumtusi anisamehe ...God blessed Mungo bcoz he gave me a hope.2035 I won't loss a due
 
Lowassa ndio raisi labda wamuwekee sumu afee
 
Back
Top Bottom