GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,689
- 109,119
Ni wiki sasa Tabora matangazo ya shirika hili kwa upande wa radio yanakatakata na zaidi usiku.
Kinachonisangaza ni kuona hakuna mfanyakazi wake (kama yupo) anayejali hali hii. Najiuliza kulikoni huko TBC?
Wakati nipo kwenye mchakato wa jinsi ya kuitoa hiyo channel, bado kuna watu wanaipenda? Nimekumbuka wimbo wa Fid Q "Huyu na yule"... Yaani huyu anafanya hiki yule anafanya kile...Ni wiki sasa Tabora matangazo ya shirika hili kwa upande wa radio yanakatakata na zaidi usiku.
Kinachonisangaza ni kuona hakuna mfanyakazi wake (kama yupo) anayejali hali hii. Najiuliza kulikoni huko TBC?
Kati ya BBC na TBC ipi ilianza matatangazo mkuu?
Umenifurahisha sana.Kweli ndio maana wale jamaa huko Tabora wanashinda kila uchaguzi.Kumbe bado mnategemea tbc
Siamini mkurugenzi wake kama anasikiliza hiyo radio.Sipendelei sana BONGO FLEVA mkuu.
sasa umeambiwa ITV ni redio kwani!!???Si uangalie ITV, kwani una ndoa na hiyo Tbc? kwanza haieleweki na taarifa zake ni za kizamani kizamani.
Wé kaaa kimya naona nabishana n'a Mtu ambaye syo level yanguhuo nmtazamo wako ww cyo kilamtu haipend clouds mm nawaelewa sana ucfoc tufanane kjana
kumuelewesha chz utajpa kaziWé kaaa kimya naona nabishana n'a Mtu ambaye syo level yangu
Ova
Wé dogo wa juzi TU humu unataka kujifanya much knw....rudi fb TUkumuelewesha chz utajpa kazi
funga domo kilazaweweWé dogo wa juzi TU humu unataka kujifanya much knw....rudi fb TU
Ova