GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 59,332
- 116,825
Ni wiki sasa Tabora matangazo ya shirika hili kwa upande wa radio yanakatakata na zaidi usiku.
Kinachonisangaza ni kuona hakuna mfanyakazi wake (kama yupo) anayejali hali hii. Najiuliza kulikoni huko TBC?
Kwani ni lini labda matangazo ya TBC iwe Radio au Tv yamekuwa katika ubora wake wa kutukuka?