Ni wavunja Sheria wapi umewakubali zaidi Mawinguni?

Ni wavunja Sheria wapi umewakubali zaidi Mawinguni?

Kwamba tokea sa 12 hadi saa 12 ulikuwa unaskizaga tu redio
Noop,,kipindi nalala ile Saa6 usiku walikua bado wako On air na wakasema hadi kukuche,,Leo ile naamka mornie kweli walikua wanatangaza wao,ndo nkaungana nao hadi saa4 asubuhi.
 
Jana nlisikiliza kipind cha asubuh kidogo na kilichofatia kidogo san pia kama dk 20 hv. Leo pia nmeskiliza kipind cha asubuh kidogo pia.
Maoni yangu;
wamefanya ubunifu mzuri lakin wamezingua sana kuharibu utaratibu wa vipind,ingefaa sana kama watangazaj wangebadilika ila utaratibu wa vipind ubaki mule mule.. Nahisi wasikilizaj wasio washabiki watapungua sana
 
Hyu pia nmemkubali
IMG_20200420_234051.jpeg


Its not over until its over...[emoji769]
 
Back
Top Bottom