Atakae weza uliyo yasema ni mtu mmoja tu, mh.Shibuda.John Pombe Magufuri hafiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii kabisaaaaaaaaaaaaaaaaaa kuwa raisi, ana jazba sana, anakurupukaaaaaa sana, ana kisasi sana hata na yeye ni mwiziiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii, ila anakula na kupuliza, angalau tunaiona kazi yake..
Halafu hata na yeye ameanza kuumwa umwa, nchi hii ni masikini na tuko nyuma, tunahitaji raisi mwenye akili sanaaaaaaaaaaa, mwenye afya bombaaaaaaaaaa, mchapa kazi sanaaaaaaaaaaaaa, atutoe from point A to point B kwa umakini sana, tunahitaji uchumi ukuwe, employment zipatikane kwa wingi, hospital, maji safi, barabara etc, etc, siyo lele mama na mchezooo...
teh teh teh, kazi kweli kweli, kwa kikezo gani,Mbowe.Kwa vigezo gani kwa kila mmoja? Kwa nini wasiwe wengine km Mwakyembe, Mbowe, Kamuhanda, n.k.
Wengine ni Dr. Abdalah Kigoda, Hamisi Kagesheki na Hawa Ghasia
Katika viongozi waliopo sasa hapa nchini kwetu haijalishi ametokea chama gani, wafuatao ndio wanaofaa kuwa rais mwaka 2015:
1. Edward Lowassa
2. John Magufuli
3. Dr. Slaa.
Wengine ni porojo tu.
Hapo kwenye red huyu mtu ni hatari kwa visasi hafai kuwa na maamuzi ya mwisho juu ya mustakabali wa nchi kwa kuwa atakayetofautiana naye kwa mtizamao anaweza kuishia jela kama Dk Slaa hatakuwepo ni bora hata ya Lowasa na ufisadi wake kuliko Magufuli
Kwa vigezo gani kwa kila mmoja? Kwa nini wasiwe wengine km Mwakyembe, Mbowe, Kamuhanda, n.k.
Nimeipenda hii, tusubiri 2015, tutajipatia rais wa ukweli, Tunao akina SALIMU, MWAKYEMBE, ZITTO na wengine lakni siyo SLAA na LOWASA. kati hao wawili akija mmoja wapo sipigi kura.Wanaofaa hawajulikani.
Wanaojulikana hawafai.
huyoo wa kwanza hatufai kabisa watz ila kwakuwa tumeshawajua enyi mafisadi endeleeni kumtaja kila kukicha kwenye jf kwani pesa yake ya kutuingiza mikataba ya hovyo ndo inayowafanya muone anafaa kuwa raisi. Ni maamuzi gani magumu aliwahi kuyafanya katika kipindi cha uongozi wake ktk nchi yetu? Kama si kutuingiza kwenye hasara na umasikini kwa mikataba yake ya kifisadi. Naomba myataje maamuzi magumu na vision aliyonayo kama si kupewa hela mmpigie debe jf???
Katika viongozi waliopo sasa hapa nchini kwetu haijalishi ametokea chama gani, wafuatao ndio wanaofaa kuwa rais mwaka 2015:
1. Edward Lowassa
2. John Magufuli
3. Dr. Slaa.
Wengine ni porojo tu.
ila iyo no.3 ndo inayofanya nikuone muongo ninapoona kuna jina la bwana ngoyai ?1. Wote hawa ni wachapa kazi
2. Wote hawa wanamsimamo.
3. Wote hawa wana vision na nchi
4. Wote hawa wanamaamuzi magumu kwa maendeleo ya nchi.
5. Wote hawa wakotayari kusimamia sheria kwa watendaji
na vigezo vingine vingi tu.
Mulugo,lusinde,sophia simba,wasira etc
hawa ni wa JAMII FORUM
Wengine ni Dr. Abdalah Kigoda, Hamisi Kagesheki na Hawa Ghasia
Ukifuata hotuba za NYERERE , SLAA hafai kabisa, ukija na dhambi ya ubaguzi, dhambi hiyo haitakuacha, Rais anayepata ushauri kwa mke wake hatufai kabisa.