Charliemic
JF-Expert Member
- Feb 17, 2019
- 585
- 919
Wanajamvi, naomba kama kichwa kinavyojieleza hapo juu! Yeyote anayejua chuo hapa Tanzania wanachofundisha course ya Big Data analysis au Advanced Excel naomba unijuze tafadhali
Hongera sana ndugu, "Charliemic" kwa kutaka kuongeza ujuzi kwenye data...hasa hasa kwenye big data analytics. Sisi kama COMSKILLS Co. Ltd tunatoa mafunzo hayo. Naomba tuwasiliane kwa maelezo zaidi.Wanajamvi, naomba kama kichwa kinavyojieleza hapo juu! Yeyote anayejua chuo hapa Tanzania wanachofundisha course ya Big Data analysis au Advanced Excel naomba unijuze tafadhali
Big Data Analysis darasa lipo makumbusho stendi wonders shall never cease.Hongera sana ndugu, "Charliemic" kwa kutaka kuongeza ujuzi kwenye data...hasa hasa kwenye big data analytics. Sisi kama COMSKILLS Co. Ltd tunatoa mafunzo hayo. Naomba tuwasiliane kwa maelezo zaidi.
Tupigie: 0717 718519 | 0762 192 532 | 022 270 1320
Tuandikie: training@comskills.co.tz
Tutembelee: Ofisi zipo Makumbusho Bus Stand, 2nd Floor.
Tupo wazi kuanzia saa 12:00 asubuh mpaka saa 4 usiku, kila siku.
Karibu sana.
Huu ujuaji ni wa kiboya, hapa umejiona wa maana kumbe ni m.pu.m.ba.vuBig Data Analysis darasa lipo makumbusho stendi wonders shall never cease.
Nilishawahi kufanya kozi hapo kwetu full ubabaishaji, janja-janja tuHuu ujuaji ni wa kiboya, hapa umejiona wa maana kumbe ni m.pu.m.ba.vu
Ndugu "Joshua_" Tunashukuru sana, ni kozi gani ulifanya hapa kwetu na hukurithika na huduma zetu?Nilishawahi kufanya kozi hapo kwetu full ubabaishaji, janja-janja tu
Mkuu lets be wise, Tusaidiane katika hili ulifanya kozi gani mkuu!?? Mapungufu yalikuwa yapi!??? Nini solution ya mapungufu uliyoyaona!???Nilishawahi kufanya kozi hapo kwetu full ubabaishaji, janja-janja tu
Gharama za mafunzo Ni pamoja na muda hivyo vyote mnaweza?Ndugu "Joshua_" Tunashukuru sana, ni kozi gani ulifanya hapa kwetu na hukurithika na huduma zetu?
Tungefurahi sana kusikia kutoka kwako, ili tuweze jirekebisha pale ambapo tumetereza. Uwe mwazi na ueleze kile ulicho kitegemea na ulicho kipata.
Ikithibitika, ndugu sisi tupo tiari kurudisha gharama zote za mafunzo.
Karibu sana.
Asante sana ndugu "iamokay" website yetu ipo na inafanya kazi. Masharti ya jukwaa hili ni kutoweka link ya aina yoyote!