Mtuache JF-Expert Member Mar 12, 2021 251 638 Jul 2, 2023 #1 Mimi nikikumbuka napatwa na kwikwi, Mungu anisamehe nilizagamua mtu msibani. Nikikumbuka hadi leo huwa nacheka tu. Kwanza yule mfiwa sijui alienda wapi sijawahi kumuona tena
Mimi nikikumbuka napatwa na kwikwi, Mungu anisamehe nilizagamua mtu msibani. Nikikumbuka hadi leo huwa nacheka tu. Kwanza yule mfiwa sijui alienda wapi sijawahi kumuona tena