toa majibu acha kejeliiunauza ama unanunua upo wapi? ukiwa upo serious na kazi yako inafaa uandike kama mtu mwenye akili au upo kwenye bodaboda hujaeleweka aisee
Kama unazo ni pm tafadhali nikupe mchanganuoHabari wakuu jamani naomba msaada kwa anejua vizuri soko la nyanya zinapatikana wapi kwa wingi tafadhari msaada tutani
nimjibu nini kama hajasema alipo unawezaje kumsaidia mbona wewe hujamjibu ndoooorobo wahedtoa majibu acha kejelii
Hahaaa wabongo bana.... wanajaa upepo bila sababunimjibu nini kama hajasema alipo unawezaje kumsaidia mbona wewe hujamjibu ndoooorobo wahed
Mbona umekuwa jasiri hamadi au kwa sababu kiringo yupo nguvuni!nimjibu nini kama hajasema alipo unawezaje kumsaidia mbona wewe hujamjibu ndoooorobo wahed
niko darWewe uko wapi
kununua from mkoani na kuuza dar es salaamUnataka kununua nyanya au kuuza nyanya??
km ingekuwa mtu hana akili asingeuliza swali labda wewe ndo huna km mwalimu kafundisha hajaeleweka wanafunzi wanauliza swali na sio kusema ticha hana akili, jitambueunauza ama unanunua upo wapi? ukiwa upo serious na kazi yako inafaa uandike kama mtu mwenye akili au upo kwenye bodaboda hujaeleweka aisee
asante kunisaidia ! kuna watu wengine bana sijui vipitoa majibu acha kejelii
yani ndo natafuta zinakopatikana kwa wingi mkuuKama unazo ni pm tafadhali nikupe mchanganuo
mbona wenzio waliuliza hapo juu we vepeee umevurugwa nnnimjibu nini kama hajasema alipo unawezaje kumsaidia mbona wewe hujamjibu ndoooorobo wahed
umeona eeeeeHahaaa wabongo bana.... wanajaa upepo bila sababu