Midozenj01
JF-Expert Member
- Sep 21, 2014
- 410
- 385
Assalam alaykum,
Waungwana ningependa kuuliza kwa hapa Dar es Salaam 1 bag ya skimmed milk powder (25Kg) iwe LATO, NIDO au yoyote yale ni bei gani?
Na naweza kupata wapi hapa mjini?
Natanguliza shukrani
Waungwana ningependa kuuliza kwa hapa Dar es Salaam 1 bag ya skimmed milk powder (25Kg) iwe LATO, NIDO au yoyote yale ni bei gani?
Na naweza kupata wapi hapa mjini?
Natanguliza shukrani