Mi huwa naelewa tu ule mwaka. Maandishi mengine hata siyaelewagiAhsanteee sticker inasomekajee
Ile stika lazima ionyeshe alama ya Vema au tiki kwenye mwezi iliofanyiwa service na mwaka pia, na sio kila mzani unaouzwa madukani umehakikiwa na WMA- weight and measure agency. Ukisha ununua waweza pia kuwapelekea kwenye ofisi zilizo karibu nawe kwa garama ya elfu Kumi tuu. Kumbuka mzani kila mwaka lazima uhakikiwe na hao jamaa. Natumai umenisoma
Mkuu labda huna bahati ya kukutana nao... Lkn wanajitahidi kukagua mpk viwandani zinakotoka bidhaa... Ukienda pale Ofisi zao za Ilala utawaona kila siku asubuhi wanatoka na gari zao kwenda site! Kuhusu mizani ya butcher na madukani huwa wanaelimisha wananchi kuwa hakikisha kabla hujapimiwa kitu mzani umekaa balanced! Pia wanafanya calibration ya mita za Maji hata kwa ww mwananchi wa kawaida na ukibahatika pita pale Ofisi ya Misugusugu uone calibration za malori zinavofanyika!Katika watu wanaokula mshahara bure ni hawa WMA, nashangaa zaidi ya kupima ujazo/uzito na kukagua mzani/ machine za ujazo baada ya hapo muda mwingi utawakuta wamekaa ofisini wakisoma magazeti tu wakati mtaani kwenye masoko yetu mizani karibu zote zimechezewa hasa kwenye mabucha ya nyama
Habar ndugu wana jf.hivi kwa dar mizani inapatikana wapi kwa wingi na kwa bei gani.na nitatambuaje ubora wa mzani na kama umepigwa chapa ya Wakala wa vipimo?
Pia mkuu unaweza kuwa-check jamaa wanajiita Wintech kwa namba hizi 0767914991 ni wauzaji wa Mizani sina zote, maana hapa hatujakuuliza unataka mzani wa aina gani! Hapo utapata Mizani ya kila aina! Wapigie wakuelekeze ofisi zao zilipo!Habar ndugu wana jf.hivi kwa dar mizani inapatikana wapi kwa wingi na kwa bei gani.na nitatambuaje ubora wa mzani na kama umepigwa chapa ya Wakala wa vipimo?
Mkuu labda huna bahati ya kukutana nao... Lkn wanajitahidi kukagua mpk viwandani zinakotoka bidhaa... Ukienda pale Ofisi zao za Ilala utawaona kila siku asubuhi wanatoka na gari zao kwenda site! Kuhusu mizani ya butcher na madukani huwa wanaelimisha wananchi kuwa hakikisha kabla hujapimiwa kitu mzani umekaa balanced! Pia wanafanya calibration ya mita za Maji hata kwa ww mwananchi wa kawaida na ukibahatika pita pale Ofisi ya Misugusugu uone calibration za malori zinavofanyika!
Ile stika lazima ionyeshe alama ya Vema au tiki kwenye mwezi iliofanyiwa service na mwaka pia, na sio kila mzani unaouzwa madukani umehakikiwa na WMA- weight and measure agency. Ukisha ununua waweza pia kuwapelekea kwenye ofisi zilizo karibu nawe kwa garama ya elfu Kumi tuu. Kumbuka mzani kila mwaka lazima uhakikiwe na hao jamaa. Natumai umenisoma