mbeyakwetu
JF-Expert Member
- Dec 17, 2016
- 719
- 393
mmmmh kazi kweli kweli ila Kuna magonjwa
ama kweli mapenzi hayana mwenyeweHata huyu naye anakuwa cheated?
Maisha ni majukumu sio starehe, ila kama makosa yakitokea kusameheana pia ni sehem ya majukum chamsingi kila mtu afanye majukumu yake.Huyo mdada amejikatia tamaa. Ni ngumu kutoa go ahead mwanaume wako acheat.
Maradhi je? Akiyapata atabaki nayo mwenyewe?
Hell Nah, siwezi kukubaliana na anachosema.
Kama kayasema kutoka moyoni kabisa, basi ataenda mbinguni.View attachment 1279774
Dada zangu kama kichwa cha uzi kinavyosema, hebu tuambieni hili limekaaje???
Sasa ungejua mwanamumue akipewa uhuru huo ndio wala hawazi ku cheat. Tabu ni wale wa kutubana bana. Zipu lazma iwe mbovu tu hamna namna🤣🤣🤣Dada kakubali kushare hataki kupata stress za mapenzi sema mwanaume ukishampa uhuru huo sasa utajuta misele kila kona
😂😂😂😂😂 true storyBinafsi mtu akiniruhusu nicheat sioni raha ya kucheat,raha ya kucheat wife akubane utumie akili ya ziada kumkwepa
Mabaharia sio watu 🤣🤣🤣!!! Af cha kushangaza anamchiti na binti muuza chakula. Kazi mbovu tu yanu hutaamini.Hata huyu naye anakuwa cheated?
Huyu nae cheater tu, naye anataka afanye yake ili ngoma iew droo, hakuna mwanamke mjinga wa namna hiyo, wote watakuwa wezi tu hawa!Huyo demu bila shaka yuko kwenye gridi ya taifa,.sio kwa kujishukuru huko chaaa!!!
Binafsi mtu akiniruhusu nicheat sioni raha ya kucheat,raha ya kucheat wife akubane utumie akili ya ziada kumkwepa
tena wakati unakaribia kupiga nje, akili itawaza mke wangu ameniruhusu na anajua nachofanya ila ameamua kuvumilia na kukubali kwakuwa hataki kunipoteza, aisee ngoma itagoma kusimama na utaondoka.
Plz hebu niambie kwamba haumaanishi Mazojms.Maisha ni majukumu sio starehe, ila kama makosa yakitokea kusameheana pia ni sehem ya majukum chamsingi kila mtu afanye majukumu yake.
Huyo Dada, anatakiwa akamuone Dr wa magonjwa ya akili aiseeeeAnamruhusu mwanaume wake acheat kwakua hawezi kuridhika na yeye pekeake kwahyo awe tu na wanawake wengine akirudi om mapenzi yao yanaendelea
Ndo hicho hana kingine anamambo yake na yeye asifatiliweHaswa, na pengine she's cheating as well.
Anatengeneza tuu mazingira ya kutomfuatilia mume wake ili na yeye asifuatiliwe.
Akinicheat nikigundua tunaachana.
Nina wivu sana Mimi.