Ni wakati wetu

Ni wakati wetu

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
359,869
Reaction score
828,403
Ukumbusho wako wa kirafiki kwamba kumekuwa na ushirika kila wakati. Tangu zamani mpaka sasa... Duniani kote.. Kuwa mshirika... Jiunge na mtandao Jenga jumuiya yq wazalendo wa Tanganyika Kuza upinzani. Huu ni wakati wetu..
It is NOW...! or NEVER...!
FB_IMG_1744116004839.jpg
 
Ukumbusho wako wa kirafiki kwamba kumekuwa na ushirika kila wakati. Tangu zamani mpaka sasa... Duniani kote.. Kuwa mshirika... Jiunge na mtandao Jenga jumuiya yq wazalendo wa Tanganyika Kuza upinzani. Huu ni wakati wetu..
It is NOW...! or NEVER...!View attachment 3296939
yaan watu wajiunge na nonsense, surely? huenda kwa akili zizilizoyumba :NoGodNo:
 
Mdharau mwimba, mguu huota tende.

Hata misri ilianza kama mzaha.

CCM wanaona ni business as usual kutokujua kuwa nyakati hubadilika.
 
Muda ni hakimu mzuri.. Tuupe wakati
ndio maana kupuuzwa kwa agenda za kipuuzi kwa ustawi wa demokrasia ni kwingi ndani na nje ya chadema gentleman chini ya uongozi mpya uliokosama maono na uliopoteza uelekeo :NoGodNo:
 
Kuna tetesi za kuingiza Majeshi, hivi hili Jeshi si la Wananchi?! ndio maana linaitwa JWTZ yaani Jeshi la Wananchi wa Tanzania sasa ni lini limekuwa Jeshi la CCM au Jeshi la Samia?!

Na lilianzishwa kwa lengo gani?! Kulinda mipaka yetu au kuilinda CCM??

Sisi Wananchi tunapodai HAKI zetu za KIKATIBA za kuchagua viongozi tunaowataka eidha tusaidieni WANANCHI kwasababu nyie ni Jeshi letu sisi WANANCHI na kama hamuwezi basi kaeni Makambini kataeni Amri ya kuja kupiga Wananchi.
 
Back
Top Bottom