Ni wakati wa Yanga SC nao kufanya maamuzi magumu kama wakivyofanya Azam FC

Tate Mkuu

JF-Expert Member
Jan 24, 2019
28,372
81,814
Kichwa cha habari kinajieleza. Wenzetu Azam fc wameamua kufikia muafaka kwa kuachana na mwalimu wao kipenzi Ettiene Ndairagije, na hivyo kumkabidhi timu mwalimu mpya raia wa Romania.

Sababu ya kufanya hivyo ni moja tu, timu isimamiwe na mwalimu kwa muda wote na siyo kama ilivyokuwa imejitokeza siku za katikati, mara mwalimu yuko na timu ya Taifa, mara Azam! Maana jambo hilo linaweza kuleta athari kwa upande mmoja au pande zote! Na kuna usemi usemao mshika mawili, moja humponyoka.

Ukija kwenye timu ya Yanga, mambo ni yale yale kama ya Ndairagije! Mwinyi Zahera ni mwalimu wa timu ya Yanga, na wakati huo ni Mwalimu msaidizi wa timu ya Taifa ya DRC! Mara nyingi amekuwa akiiacha timu na kwenda kuwajibika kwenye timu yake ya Taifa, na hivyo kumuachia majukumu mwalimu msaidizi Noel Mwandila.

Je, viongozi wa Yanga hawaoni athari zozote za kuendelea na mwalimu mwenye majukumu mawili kwa wakati mmoja? Kwa nini wasiangalie namna ya kuwa na mwalimu wa kudumu na asiyeshikamana na upande mwingine kwa wakati mmoja?

Kama Zahera anaipenda sana Yanga, kwa nini asijiuzulu na yeye kuifundisha timu ya Taifa kama alivyofanya kocha mwenzake mkuu na anayeifundisha klabu ya As Vita, (somebody Ibengwe) ili ahamishie nguvu zote kwenye klabu yake ya Yanga?
 
Kichwa cha habari kinajieleza. Wenzetu Azam fc wameamua kufikia muafaka kwa kuachana na mwalimu wao kipenzi Ettiene Ndairagije, na hivyo kumkabidhi timu mwalimu mpya raia wa Romania.

Sababu ya kufanya hivyo ni moja tu, timu isimamiwe na mwalimu kwa muda wote na siyo kama ilivyokuwa imejitokeza siku za katikati, mara mwalimu yuko na timu ya Taifa, mara Azam! Maana jambo hilo linaweza kuleta athari kwa upande mmoja au pande zote! Na kuna usemi usemao mshika mawili, moja humponyoka.

Ukija kwenye timu ya Yanga, mambo ni yale yale kama ya Ndairagije! Mwinyi Zahera ni mwalimu wa timu ya Yanga, na wakati huo ni Mwalimu msaidizi wa timu ya Taifa ya DRC! Mara nyingi amekuwa akiiacha timu na kwenda kuwajibika kwenye timu yake ya Taifa, na hivyo kumuachia majukumu mwalimu msaidizi Noel Mwandila.

Je, viongozi wa Yanga hawaoni athari zozote za kuendelea na mwalimu mwenye majukumu mawili kwa wakati mmoja? Kwa nini wasiangalie namna ya kuwa na mwalimu wa kudumu na asiyeshikamana na upande mwingine kwa wakati mmoja?

Kama Zahera anaipenda sana Yanga, kwa nini asijiuzulu na yeye kuifundisha timu ya Taifa kama alivyofanya kocha mwenzake mkuu na anayeifundisha klabu ya As Vita, (somebody Ibengwe) ili ahamishie nguvu zote kwenye klabu yake ya Yanga?
noted!
Dr Msola unatuangusha kuhusu suala la kocha achague moja kocha Zahera,timu ya Yanga au Congo,tunatambua juhudi zake na upendo!
aletwe kocha mwingine!
Msitake yawakute ya wakina Sanga na Nchunga mapemaaa!!
 
Kichwa cha habari kinajieleza. Wenzetu Azam fc wameamua kufikia muafaka kwa kuachana na mwalimu wao kipenzi Ettiene Ndairagije, na hivyo kumkabidhi timu mwalimu mpya raia wa Romania.

Sababu ya kufanya hivyo ni moja tu, timu isimamiwe na mwalimu kwa muda wote na siyo kama ilivyokuwa imejitokeza siku za katikati, mara mwalimu yuko na timu ya Taifa, mara Azam! Maana jambo hilo linaweza kuleta athari kwa upande mmoja au pande zote! Na kuna usemi usemao mshika mawili, moja humponyoka.

Ukija kwenye timu ya Yanga, mambo ni yale yale kama ya Ndairagije! Mwinyi Zahera ni mwalimu wa timu ya Yanga, na wakati huo ni Mwalimu msaidizi wa timu ya Taifa ya DRC! Mara nyingi amekuwa akiiacha timu na kwenda kuwajibika kwenye timu yake ya Taifa, na hivyo kumuachia majukumu mwalimu msaidizi Noel Mwandila.

Je, viongozi wa Yanga hawaoni athari zozote za kuendelea na mwalimu mwenye majukumu mawili kwa wakati mmoja? Kwa nini wasiangalie namna ya kuwa na mwalimu wa kudumu na asiyeshikamana na upande mwingine kwa wakati mmoja?

Kama Zahera anaipenda sana Yanga, kwa nini asijiuzulu na yeye kuifundisha timu ya Taifa kama alivyofanya kocha mwenzake mkuu na anayeifundisha klabu ya As Vita, (somebody Ibengwe) ili ahamishie nguvu zote kwenye klabu yake ya Yanga?
Yanga ilimchukua Zahera akiwa na jukumu lake la timu ya taifa. La Azam ni tofauti. Note the difference!
 
Ndipo wabongo wengi tunakwama hapa kwamba fulani akifanya hivi basi na wewe unaiga.Yanga ni taasisi ambayo inaongozwa na misingi yake.
Kuna wakati Yanga walikuwa wakileta kocha mganda na Simba wanafuta mzungu wanaleta hata mzambia.Simba wakifuta mzambia wakaleta mseribia yanga inafuta mganda inaleta mbelgiji.Sasa hii haipo kwa Yanga hii Ya kisasa.Hatuigi upande wa pili kwa lolote iwe zuri ama baya.Kama zuri tutaangalia namna ya kufanya letu liwe zuri zaidi.

YANGA na azam malengo ni tofauti kwa hiyo Yanga itafanya yale yaliyo sahihi.Sio kwa sababu Simba au Azam kafanya.
 
Ngoja tuone...

Kikosi nacho pia kinahitaji muda kujipanga...


Cc: mahondaw
Timu imeingia kambini tarh 5 july na wachezaji wote isipokua Molinga, hadi Leo hii ni 22 October. Afu bado kisingizio timu haijapata muunganiko.
Imecheza mechi za kimashindano 7, za kirafiki 7 ukitoa na zile mlizocheza na Morogoro. Lakini bdo kisingizio wachezaji hawajapata muunganiko.
Kama kweli hao wachezaji hawajapata muunganiko basi hawana akili ya mpira.
 
Timu imeingia kambini tarh 5 july na wachezaji wote isipokua Molinga, hadi Leo hii ni 22 October. Afu bado kisingizio timu haijapata muunganiko.
Imecheza mechi za kimashindano 7, za kirafiki 7 ukitoa na zile mlizocheza na Morogoro. Lakini bdo kisingizio wachezaji hawajapata muunganiko.
Kama kweli hao wachezaji hawajapata muunganiko basi hawana akili ya mpira.
Muunganiko unapata kwenye mechi saba?
Unaujua mpira wewe?
Unahitaji msimu mzina kupata huo muunganiko si mechi saba.
 
Kichwa cha habari kinajieleza. Wenzetu Azam fc wameamua kufikia muafaka kwa kuachana na mwalimu wao kipenzi Ettiene Ndairagije, na hivyo kumkabidhi timu mwalimu mpya raia wa Romania.

Sababu ya kufanya hivyo ni moja tu, timu isimamiwe na mwalimu kwa muda wote na siyo kama ilivyokuwa imejitokeza siku za katikati, mara mwalimu yuko na timu ya Taifa, mara Azam! Maana jambo hilo linaweza kuleta athari kwa upande mmoja au pande zote! Na kuna usemi usemao mshika mawili, moja humponyoka.

Ukija kwenye timu ya Yanga, mambo ni yale yale kama ya Ndairagije! Mwinyi Zahera ni mwalimu wa timu ya Yanga, na wakati huo ni Mwalimu msaidizi wa timu ya Taifa ya DRC! Mara nyingi amekuwa akiiacha timu na kwenda kuwajibika kwenye timu yake ya Taifa, na hivyo kumuachia majukumu mwalimu msaidizi Noel Mwandila.

Je, viongozi wa Yanga hawaoni athari zozote za kuendelea na mwalimu mwenye majukumu mawili kwa wakati mmoja? Kwa nini wasiangalie namna ya kuwa na mwalimu wa kudumu na asiyeshikamana na upande mwingine kwa wakati mmoja?

Kama Zahera anaipenda sana Yanga, kwa nini asijiuzulu na yeye kuifundisha timu ya Taifa kama alivyofanya kocha mwenzake mkuu na anayeifundisha klabu ya As Vita, (somebody Ibengwe) ili ahamishie nguvu zote kwenye klabu yake ya Yanga?


Yanga FC ahitaji msaada wowote, wacheni ifilie mbali tu.
 
Kichwa cha habari kinajieleza. Wenzetu Azam fc wameamua kufikia muafaka kwa kuachana na mwalimu wao kipenzi Ettiene Ndairagije, na hivyo kumkabidhi timu mwalimu mpya raia wa Romania.

Sababu ya kufanya hivyo ni moja tu, timu isimamiwe na mwalimu kwa muda wote na siyo kama ilivyokuwa imejitokeza siku za katikati, mara mwalimu yuko na timu ya Taifa, mara Azam! Maana jambo hilo linaweza kuleta athari kwa upande mmoja au pande zote! Na kuna usemi usemao mshika mawili, moja humponyoka.

Ukija kwenye timu ya Yanga, mambo ni yale yale kama ya Ndairagije! Mwinyi Zahera ni mwalimu wa timu ya Yanga, na wakati huo ni Mwalimu msaidizi wa timu ya Taifa ya DRC! Mara nyingi amekuwa akiiacha timu na kwenda kuwajibika kwenye timu yake ya Taifa, na hivyo kumuachia majukumu mwalimu msaidizi Noel Mwandila.

Je, viongozi wa Yanga hawaoni athari zozote za kuendelea na mwalimu mwenye majukumu mawili kwa wakati mmoja? Kwa nini wasiangalie namna ya kuwa na mwalimu wa kudumu na asiyeshikamana na upande mwingine kwa wakati mmoja?

Kama Zahera anaipenda sana Yanga, kwa nini asijiuzulu na yeye kuifundisha timu ya Taifa kama alivyofanya kocha mwenzake mkuu na anayeifundisha klabu ya As Vita, (somebody Ibengwe) ili ahamishie nguvu zote kwenye klabu yake ya Yanga?
Tuachie yanga yetu. Sisi ndiyo tunaemtaka aendelee kubaki Yanga.
Hebu acha kuwa kibaraka wa wale walioshindwa kupata uongozi Yanga.
 
Ndipo wabongo wengi tunakwama hapa kwamba fulani akifanya hivi basi na wewe unaiga.Yanga ni taasisi ambayo inaongozwa na misingi yake.
Kuna wakati Yanga walikuwa wakileta kocha mganda na Simba wanafuta mzungu wanaleta hata mzambia.Simba wakifuta mzambia wakaleta mseribia yanga inafuta mganda inaleta mbelgiji.Sasa hii haipo kwa Yanga hii Ya kisasa.Hatuigi upande wa pili kwa lolote iwe zuri ama baya.Kama zuri tutaangalia namna ya kufanya letu liwe zuri zaidi.

YANGA na azam malengo ni tofauti kwa hiyo Yanga itafanya yale yaliyo sahihi.Sio kwa sababu Simba au Azam kafanya.
Mkuu unakosea tukiorezesha mambo ambayo yanga wanaiga nimengi mno jambo ambalo Yanga hajaiga ni bakuli tu
 
Kichwa cha habari kinajieleza. Wenzetu Azam fc wameamua kufikia muafaka kwa kuachana na mwalimu wao kipenzi Ettiene Ndairagije, na hivyo kumkabidhi timu mwalimu mpya raia wa Romania.

Sababu ya kufanya hivyo ni moja tu, timu isimamiwe na mwalimu kwa muda wote na siyo kama ilivyokuwa imejitokeza siku za katikati, mara mwalimu yuko na timu ya Taifa, mara Azam! Maana jambo hilo linaweza kuleta athari kwa upande mmoja au pande zote! Na kuna usemi usemao mshika mawili, moja humponyoka.

Ukija kwenye timu ya Yanga, mambo ni yale yale kama ya Ndairagije! Mwinyi Zahera ni mwalimu wa timu ya Yanga, na wakati huo ni Mwalimu msaidizi wa timu ya Taifa ya DRC! Mara nyingi amekuwa akiiacha timu na kwenda kuwajibika kwenye timu yake ya Taifa, na hivyo kumuachia majukumu mwalimu msaidizi Noel Mwandila.

Je, viongozi wa Yanga hawaoni athari zozote za kuendelea na mwalimu mwenye majukumu mawili kwa wakati mmoja? Kwa nini wasiangalie namna ya kuwa na mwalimu wa kudumu na asiyeshikamana na upande mwingine kwa wakati mmoja?

Kama Zahera anaipenda sana Yanga, kwa nini asijiuzulu na yeye kuifundisha timu ya Taifa kama alivyofanya kocha mwenzake mkuu na anayeifundisha klabu ya As Vita, (somebody Ibengwe) ili ahamishie nguvu zote kwenye klabu yake ya Yanga?
Hakuna kiongozi wa kumgusa Zahera pale Yanga
 
Pressure ya wapi nyie Hoho FC?

Huyu sisi tunaomba mkae naye mpaka 10yrs kwakuwa hana madhara kwa Simba SC kwani mpaka sasa kuna nini cha maana amefanya zaidi ya kuwa Wakala.

BanaKongo hawezi kubeba hata kombe la Mapinduzi
Mikia wanawashwawashwa,Zahera anawatia pressure
 
Pressure ya wapi nyie Hoho FC?

Huyu sisi tunaomba mkae naye mpaka 10yrs kwakuwa hana madhara kwa Simba SC kwani mpaka sasa kuna nini cha maana amefanya zaidi ya kuwa Wakala.

BanaKongo hawezi kubeba hata kombe la Mapinduzi
Hua nashangaa sasa hawa hoho fc wanakazana Simba mnyama mkali tunamuogopa zahera ambaye toka aje yanga hajawahi kutufunga zaidi akijitahidi anatoa droo na anaenda kwenye media kufurahia droo dhidi ya Simba mfalme wa nyika
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom