Ni wakati umefika sasa kwa NCCR Mageuzi kurudisha heshima ya upinzani, CHADEMA wanatia aibu!

Chris Lukosi

JF-Expert Member
Aug 23, 2012
4,581
2,937
Ndugu zanguni,

Kama mjuavyo wananchi sasa wameanza kujitambua na wamewashtukia matapeli wa kisiasa chadema, na hayo yamejionyesha kwenye matokeo ya chaguzi zilizoffanyika jana.

ILi kurudisha heshima ya upinzani nchini, inabidi chama kilichotulia na chenye muelekeo positive cha NCCR mageuzi kusimama na kujijenga katika ngazi zote.

Sote tunajua kuwa wananchi wanahitaji kuwa na chama imara cha upinzani ambacho siku moja wanaweza kukiamini kiongoze nchi, lakini sio hawa makanjanja Chadema wanaoongozwa na ukoo wa Mtei.

NCCR ni chama ambacho tayari kiliishajijenga tokea enzi za Mrema kwa hiyo haitakuwa kazi ngumu kufufua matawi yaliyofungwa na kuelimisha jamii.

Nawashukuru sana wapiga kura kjwa kukataa kushangaa chopa na kuwadharau hawa wanaojikamatisha polisi kila kukicha ili wapate umaarufu na huruma.

Tanzania kuna chama kimoja tu cha upinzani kinachoongozwa kisomi, nancho ni NCCR Mageuzi

JITAMBUE!
 
Ndugu zanguni,

Kama mjuavyo wananchi sasa wameanza kujitambua na wamewashtukia matapeli wa kisiasa chadema, na hayo yamejionyesha kwenye matokeo ya chaguzi zilizoffanyika jana.

ILi kurudisha heshima ya upinzani nchini, inabidi chama kilichotulia na chenye muelekeo positive cha NCCR mageuzi kusimama na kujijenga katika ngazi zote.

Sote tunajua kuwa wananchi wanahitaji kuwa na chama imara cha upinzani ambacho siku moja wanaweza kukiamini kiongoze nchi, lakini sio hawa makanjanja Chadema wanaoongozwa na ukoo wa Mtei.

NCCR ni chama ambacho tayari kiliishajijenga tokea enzi za Mrema kwa hiyo haitakuwa kazi ngumu kufufua matawi yaliyofungwa na kuelimisha jamii.

Nawashukuru sana wapiga kura kjwa kukataa kushangaa chopa na kuwadharau hawa wanaojikamatisha polisi kila kukicha ili wapate umaarufu na huruma.

Tanzania kuna chama kimoja tu cha upinzani kinachoongozwa kisomi, nancho ni NCCR Mageuzi

JITAMBUE!

Wee baada ya kupotea kwa sababu ulishindwa kuwatapeli watu uwauzie magari mabovu kutoka UK sasa umefufuka ehe?
 
Ndugu zanguni,

Kama mjuavyo wananchi sasa wameanza kujitambua na wamewashtukia matapeli wa kisiasa chadema, na hayo yamejionyesha kwenye matokeo ya chaguzi zilizoffanyika jana.

ILi kurudisha heshima ya upinzani nchini, inabidi chama kilichotulia na chenye muelekeo positive cha NCCR mageuzi kusimama na kujijenga katika ngazi zote.

Sote tunajua kuwa wananchi wanahitaji kuwa na chama imara cha upinzani ambacho siku moja wanaweza kukiamini kiongoze nchi, lakini sio hawa makanjanja Chadema wanaoongozwa na ukoo wa Mtei.

NCCR ni chama ambacho tayari kiliishajijenga tokea enzi za Mrema kwa hiyo haitakuwa kazi ngumu kufufua matawi yaliyofungwa na kuelimisha jamii.

Nawashukuru sana wapiga kura kjwa kukataa kushangaa chopa na kuwadharau hawa wanaojikamatisha polisi kila kukicha ili wapate umaarufu na huruma.

Tanzania kuna chama kimoja tu cha upinzani kinachoongozwa kisomi, nancho ni NCCR Mageuzi

JITAMBUE!


Kabla ya kufikia hitimisho hili la kushangaza

1:Daftari la wapiga kura lililotumika ni lile la mwaka 2010 kwa hiyo CHADEMA kimefanya kazi kutoka pale kilipokua mwaka 2010

2: Kuna vijana wengi ambao hawajandikishwa kwenye Daftari la kudumu la wapiga kura

3:Kuna maeneo ambayo CHADEMA hakikuweka mgombea mwaka 2010 lakini leo kimevuna maelfu ya kura

4:CHADEMA kilifanya operesheni kuzungumzia katiba Mpya,Kuboresha daftari la wapiga kura nchi nzima

5:Kata zilizochukuliwa CCM zimechukuliwa kwa wapiga kura wale wale wa Mwaka 2010

6:Maeneo yote ya kata hizo tuonyeshe uwiano wa kura za mwaka 2010 na kura za sasa tuweke kwenye analytical graph ili kujua pamoja na changamoto nilizotaja hapo juu kati ya CCM na CHADEMA ni kipi kimekua/kimekubalika kwa kasi tangu 2010
 
Nadhani sasa ni mda wa Watanzania kusimama ili kuwe na vyama vingi vya upinzani vyenye. nguvu ni kazi bure kuwa na chama kimoja cha upinzani chenye nguvu maana sasa imefikia hatua nao wanajiona wana nguvu utadhani ndo chama tawala ni mda muafaka sasa kuona CUF na NCCR zenye nguvu sawa na Chadema naona NCCR wameliona hilo na jana Moses Machali alikuwa Sengerema kama Naibu katibu mkuu akiimalisha chama hii itakuwa ni ziara ya nchi nzima kwa mjibu wa Machali mwenyewe
 
Kabla ya kufikia hitimisho hili la kushangaza

1:Daftari la wapiga kura lililotumika ni lile la mwaka 2010 kwa hiyo CHADEMA kimefanya kazi kutoka pale kilipokua mwaka 2010

2: Kuna vijana wengi ambao hawajandikishwa kwenye Daftari la kudumu la wapiga kura

3:Kuna maeneo ambayo CHADEMA hakikuweka mgombea mwaka 2010 lakini leo kimevuna maelfu ya kura

4:CHADEMA kilifanya operesheni kuzungumzia katiba Mpya,Kuboresha daftari la wapiga kura nchi nzima

5:Kata zilizochukuliwa CCM zimechukuliwa kwa wapiga kura wale wale wa Mwaka 2010

6:Maeneo yote ya kata hizo tuonyeshe uwiano wa kura za mwaka 2010 na kura za sasa tuweke kwenye analytical graph ili kujua pamoja na changamoto nilizotaja hapo juu kati ya CCM na CHADEMA ni kipi kimekua/kimekubalika kwa kasi tangu 2010
Kwa hiyo hata 2015 mtasema hayahaya?

Ninakuhakikishia hapo 2015 mtapoteza viti vingi sana vya ubunge. Tukumbushane tu siku ikifika
 
Kabla ya kufikia
hitimisho hili la kushangaza

1:Daftari la wapiga kura lililotumika ni lile la mwaka 2010 kwa hiyo
CHADEMA kimefanya kazi kutoka pale kilipokua mwaka 2010

2: Kuna vijana wengi ambao hawajandikishwa kwenye Daftari la kudumu la
wapiga kura

3:Kuna maeneo ambayo CHADEMA hakikuweka mgombea mwaka 2010 lakini leo
kimevuna maelfu ya kura

4:CHADEMA kilifanya operesheni kuzungumzia katiba Mpya,Kuboresha daftari
la wapiga kura nchi nzima

5:Kata zilizochukuliwa CCM zimechukuliwa kwa wapiga kura wale wale wa
Mwaka 2010

6:Maeneo yote ya kata hizo tuonyeshe uwiano wa kura za mwaka 2010 na
kura za sasa tuweke kwenye analytical graph ili kujua pamoja na
changamoto nilizotaja hapo juu kati ya CCM na CHADEMA ni kipi
kimekua/kimekubalika kwa kasi tangu 2010

Nakupa LIKE mkuu hii ndo tathimini makini iliyomshinda hata Dk.Bana kuingamua ukweli ni kuwa CDM haijapoteza zaidi ya kuimarika pamoja vita inayopigwa na CCM kwa ushirikiano na vyombo vya dola.
 
Kabla ya kufikia hitimisho hili la kushangaza

1:Daftari la wapiga kura lililotumika ni lile la mwaka 2010 kwa hiyo CHADEMA kimefanya kazi kutoka pale kilipokua mwaka 2010

2: Kuna vijana wengi ambao hawajandikishwa kwenye Daftari la kudumu la wapiga kura

3:Kuna maeneo ambayo CHADEMA hakikuweka mgombea mwaka 2010 lakini leo kimevuna maelfu ya kura

4:CHADEMA kilifanya operesheni kuzungumzia katiba Mpya,Kuboresha daftari la wapiga kura nchi nzima

5:Kata zilizochukuliwa CCM zimechukuliwa kwa wapiga kura wale wale wa Mwaka 2010

6:Maeneo yote ya kata hizo tuonyeshe uwiano wa kura za mwaka 2010 na kura za sasa tuweke kwenye analytical graph ili kujua pamoja na changamoto nilizotaja hapo juu kati ya CCM na CHADEMA ni kipi kimekua/kimekubalika kwa kasi tangu 2010

Nadhani sasa hoja ya kuwa CCM wanaiba kura itakuwa imefungwa na sasa hoja ni daftari la mpiga kura, na hili nalo litapita mtakuja mengine.
 
Nakupa LIKE mkuu hii ndo tathimini makini iliyomshinda hata Dk.Bana kuingamua ukweli ni kuwa CDM haijapoteza zaidi ya kuimarika pamoja vita inayopigwa na CCM kwa ushirikiano na vyombo vya dola.

lipi ni sahihi, kuboresha daftari, CCM kutumia vyombo vya dola au CCM kuiba kura? mbona mnatapatapa sana.
 
Kwa hiyo hata 2015 mtasema hayahaya?

Ninakuhakikishia hapo 2015 mtapoteza viti vingi sana vya ubunge. Tukumbushane tu siku ikifika

Ben Saanane amejisahau tu, wao wangebaki na uongo wao kuwa CCM wanaiba a kutumia vyombo vya dola kwa vile ni propaganda ambazo hazina expring date. 2015 wakiburuzwa sijui watasingizia nini.
 
Nadhani sasa ni mda wa Watanzania kusimama ili kuwe na vyama vingi vya upinzani vyenye. nguvu ni kazi bure kuwa na chama kimoja cha upinzani chenye nguvu maana sasa imefikia hatua nao wanajiona wana nguvu utadhani ndo chama tawala ni mda muafaka sasa kuona CUF na NCCR zenye nguvu sawa na Chadema naona NCCR wameliona hilo na jana Moses Machali alikuwa Sengerema kama Naibu katibu mkuu akiimalisha chama hii itakuwa ni ziara ya nchi nzima kwa mjibu wa Machali mwenyewe

Tatizo kubwa la CHADEMA ni uduni wa elimu ya viongozi. wengi wao wamesoma elimu za dini, hawana uwelewa na mambo ya jamii, ndiyo maana wanatumia nguvu, matusi na maneno yenye lengo la kuwagawa wananchi.

Nenda mikoa ya kaskzini huwezi kuisema vibaya CHADEMA, lakini nenda pia mikoa mingine halafu jitambulishe kuwa mchagga ,utasikia unaulizwa wewe ni CHADEMA?
 
Kabla ya kufikia hitimisho hili la kushangaza

1:Daftari la wapiga kura lililotumika ni lile la mwaka 2010 kwa hiyo CHADEMA kimefanya kazi kutoka pale kilipokua mwaka 2010

2: Kuna vijana wengi ambao hawajandikishwa kwenye Daftari la kudumu la wapiga kura

3:Kuna maeneo ambayo CHADEMA hakikuweka mgombea mwaka 2010 lakini leo kimevuna maelfu ya kura

4:CHADEMA kilifanya operesheni kuzungumzia katiba Mpya,Kuboresha daftari la wapiga kura nchi nzima

5:Kata zilizochukuliwa CCM zimechukuliwa kwa wapiga kura wale wale wa Mwaka 2010

6:Maeneo yote ya kata hizo tuonyeshe uwiano wa kura za mwaka 2010 na kura za sasa tuweke kwenye analytical graph ili kujua pamoja na changamoto nilizotaja hapo juu kati ya CCM na CHADEMA ni kipi kimekua/kimekubalika kwa kasi tangu 2010
Ben,

Huu utetezi wako mbona una mapungufu mengi sana kamanda.
1:Daftari la wapiga kura lililotumika ni lile la mwaka 2010 kwa hiyo CHADEMA kimefanya kazi kutoka pale kilipokua mwaka 2010
Chadema sasa hivi ni chama kikongwe kina zaidi ya miaka 20, unaposema Chadema kimefanya kazi kutoka mwaka 2010 sijaelewa dhumuni lako ni lipi.
2: Kuna vijana wengi ambao hawajandikishwa kwenye Daftari la kudumu la wapiga kura
Ni kweli kabisa nakubalina na wewe, lakini haina maana hao vijana wote ni Chadema, hata CCM, CUF, NCCR Mageuzi wana vijana ambao hawajandikishwa.
3:Kuna maeneo ambayo CHADEMA hakikuweka mgombea mwaka 2010 lakini leo kimevuna maelfu ya kura
Kwenye huu uchaguzi ni kata moja tu ambao CCM walipita bila kupingwa kwao Mohamedi Mtoi, vile vile kuna maeneo mengi tu Chadema wamepata kura chache sana ni aibu kwa chama kikuu cha upinzani mfano.
KUTOKA KONDOA MATOKEO NI
KONDOA CCM ------------1,296
CUF---------- 935.
CDM--------29
NCCR------34
Angalia na hii.
UCHAGUZI KATA YA NAMIKANGO
(NACHINGWEA.....)
Chama Kura

ADC -9

CUF -110
CHADEMA -188
CCM -517.
Angalia na hii.
KUTOKA BAGAMOYO
:
KIBINDU.Matokeo ya jumla:

CCM- kura 1682(75%),CHADEMA-kura 548(25%).

MAGOMENI Matokeo kwa jumla:
CCM 1183, CUF 708, CHADEMA 347.
Huu ni mfano mdogo tu.
4:CHADEMA kilifanya operesheni kuzungumzia katiba Mpya,Kuboresha daftari la wapiga kura nchi nzima
Tueleze faida za hizi operesheni zenu.
5:Kata zilizochukuliwa CCM zimechukuliwa kwa wapiga kura wale wale wa Mwaka 2010
Hata Chadema Kata walizochukuwa wapiga kura walikuwa wale wale.
6:Maeneo yote ya kata hizo tuonyeshe uwiano wa kura za mwaka 2010 na kura za sasa tuweke kwenye analytical graph ili kujua pamoja na changamoto nilizotaja hapo juu kati ya CCM na CHADEMA ni kipi kimekua/kimekubalika kwa kasi tangu 2010
Mmeonyesha uwiano upi wa kura kuna maeneo mmeshindwa vibaya.
 
Ben,

Huu utetezi wako mbona una mapungufu mengi sana kamanda.

Chadema sasa hivi ni chama kikongwe kina zaidi ya miaka 20, unaposema Chadema kimefanya kazi kutoka mwaka 2010 sijaelewa dhumuni lako ni lipi.

Ni kweli kabisa nakubalina na wewe, lakini haina maana hao vijana wote ni Chadema, hata CCM, CUF, NCCR Mageuzi wana vijana ambao hawajandikishwa.

Kwenye huu uchaguzi ni kata moja tu ambao CCM walipita bila kupingwa kwao Mohamedi Mtoi, vile vile kuna maeneo mengi tu Chadema wamepata kura chache sana ni aibu kwa chama kikuu cha upinzani mfano.

Angalia na hii.

Angalia na hii.

Huu ni mfano mdogo tu.

Tueleze faida za hizi operesheni zenu.

Hata Chadema Kata walizochukuwa wapiga kura walikuwa wale wale.

Mmeonyesha uwiano upi wa kura kuna maeneo mmeshindwa vibaya.
Hawa jamaa ni aibu kwa siasa za Tanzania.

Walidhani wananchi mafala kwa kuwapelekea chopa...
 
Ben,

Huu utetezi wako mbona una mapungufu mengi sana kamanda.

Chadema sasa hivi ni chama kikongwe kina zaidi ya miaka 20, unaposema Chadema kimefanya kazi kutoka mwaka 2010 sijaelewa dhumuni lako ni lipi.

Ni kweli kabisa nakubalina na wewe, lakini haina maana hao vijana wote ni Chadema, hata CCM, CUF, NCCR Mageuzi wana vijana ambao hawajandikishwa.

Kwenye huu uchaguzi ni kata moja tu ambao CCM walipita bila kupingwa kwao Mohamedi Mtoi, vile vile kuna maeneo mengi tu Chadema wamepata kura chache sana ni aibu kwa chama kikuu cha upinzani mfano.

Angalia na hii.

Angalia na hii.

Huu ni mfano mdogo tu.

Tueleze faida za hizi operesheni zenu.

Hata Chadema Kata walizochukuwa wapiga kura walikuwa wale wale.

Mmeonyesha uwiano upi wa kura kuna maeneo mmeshindwa vibaya.

Uwiano wa kura kwa baadhi ya maeneo umeonyeshwa hapa

www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/602441-ya-chopa-3-ushindi-kata-3-na-masuala-ya-msingi-kwa-wanachadema-wapenda-demokrasia-3.html#post8653872
 
Very Poor analysis.
Huwezi kulazimisha NCCR iwe mbadala wa CHADEMA katika siasa za sasa hapa Tanzania, Political activities ya Chama husika ndio automatically inakifanya chama kiwe kikuu na Gumzo kwa wakati husika, kama ilivyo sasa CHADEMA, au TANU enzi zile au NCCR mwaka1995, au CUF mwaka 2000.

Ni vizuri kama ungezungumzia kata muhimu za CCM ambazo CHADEMA wamezinyakua kama Sombetini na Njombe mjini kuliko kuzungumzia chombo cha usafiri kama Chopa katika karne hii.
 
nikiwa kama mwana chadema,nasema hii ni aibu na ujinga kwa mbowe slaa na tundu,nasema hawatumii kabisa akiri, how comes mnatumia choper kuzunguka kwa wananchi masikini,halafu mnawaambia ccm haijawaletea maji,kwa nini zisitumike hizo pesa kuwachimbia wananvhi visima?na kwa nini hiyo pesa wasipewe makatibu huko wilayani kuimalisha chama vijijini? ukweli nina hasira,mbowe na wapuuzi wenzako achieni madaraka km vipi tutawaorganize wananchi wasusie mikutno yenu ili muachie madaraka,nina hasira siyo kawaida.
 
Very Poor analysis.
Huwezi kulazimisha NCCR iwe mbadala wa CHADEMA katika siasa za sasa hapa Tanzania, Political activities ya Chama husika ndio automatically inakifanya chama kiwe kikuu na Gumzo kwa wakati husika, kama ilivyo sasa CHADEMA, au TANU enzi zile au NCCR mwaka1995, au CUF mwaka 2000.

Ni vizuri kama ungezungumzia kata muhimu za CCM ambazo CHADEMA wamezinyakua kama Sombetini na Njombe mjini kuliko kuzungumzia chombo cha usafiri kama Chopa katika karne hii.

CADEMA inachanja mbuga,inaitimulia ccm vumbi sasa inauma inataka kutumia chopa 3 kata 3,mbona mmesahau kutoa komment zenu baada ya matokeo ya jumla ndo mpate cha kusema,jiandaeni kisaikolojia kuichia CHADEMA IKULU japo inauma lakini Watanzania wameamua,CHADEMA JUUUUUUUUUUUUUU,mafisadi chiniiiiiiiii,mpaka siku 90 mlizo tangaza za kuvua gamba zitimie na miezi 6 ya kuwavua uongozi walioshinda kwa rushwa itimie ndo CHADEMA itapunguza moto vinginevyo aaaaahhhh! imekula kwenu
 
Back
Top Bottom