Dr Shekilango
Senior Member
- Dec 30, 2013
- 192
- 117
Imeonekana NCCR-Mageuzi ndiyo chama pekee chenye kuamua kwa niaba ya Taifa. Kwa siasa za chama kile za kidiplomasia na za kipadre ni wazi hatuwezi kuwa na vyama vya harakati ngumu kwa mazingira ya sasa!
Tunataka chama chenye Itikadi na falsafa unganishi na kinachotanguliza maslahi ya watu kwanza na Taifa, hivyo Tundu Lissu na Membe waende NCCR-Mageuzi ili kuwe na chama ambacho ndo kiasisi cha MAGEUZI ya kisiasa. Hawa CHADEMA na ACT-WAZALENDO wanatuchanganya tu.
Tunataka chama chenye Itikadi na falsafa unganishi na kinachotanguliza maslahi ya watu kwanza na Taifa, hivyo Tundu Lissu na Membe waende NCCR-Mageuzi ili kuwe na chama ambacho ndo kiasisi cha MAGEUZI ya kisiasa. Hawa CHADEMA na ACT-WAZALENDO wanatuchanganya tu.