Ni vyema Dickson Mwalimu wa Nida na wenzie.....

MINOCYCLINE

JF-Expert Member
Apr 2, 2015
8,018
16,802
Sasa wakatuchagulia watanzania ni aina gani labda ya adhabu wangependa tuwape kwa kitendo kikubwa na kifisadi walichotufanyia ili iwe onyo na fundisho kwa wale wote wengine ambao wakipewa madaraka wanayatumia vibaya.

Si vibaya akafikiria ni adhabu gani bora kati ya hizi zifuatazo angependa tumpe pamoja na wenzie:

  • Kupigwa risasi hadharani.
  • Kufungwa kamba shingoni na jiwe kisha watumbukizwe baharini.
  • Tuwalaze barabarani kisha lile gari la kukandamiza lami liwapitie wote wawe kama chapati.
  • Tuwaweke katika lori kisha tukawatupe wote katika mto Ruaha wawe kitoweo bora kwa mamba na viboko.
  • Tukawasimamishe kileleni mwa mlima Kilimanjaro kwa saa tatu wote wakiwa vifua wazi.
  • Tuwafunge nyuma ya gari halafu tuwaburuze katika barabara za kokoto kwa siku nzima.
  • Tuwachonganishe na Boko haram au Al shabaab au ISIS au kama vipi Al qaeda wenyewe wamalizwe vizuri.
Jibu lako ni muhimu mno kwa hizo adhabu tosha saba tajwa hapo juu hasa kutokana kwamba kitendo kilichofanywa na huyu bosi wa NIDA na wafanyakazi wenzake ni cha kutudharau watanzania kulikopitiliza.
 
Back
Top Bottom