Marco Seth
JF-Expert Member
- Oct 21, 2022
- 4,680
- 5,653
Viongozi wengi wanakuwa wanachukiwa. Ni namna gani abadilike ili watu wamkubali na aheshimiwe?
Kiongozi kupenda kuheshimiwa si kitu kizuri.Viongozi wengi wanakuwa wanachukiwa
Ni namna gani abadilike ili watu wamkubali na aheshimiwe?
Kiongozi kupenda kuheshimiwa si kitu kizuri.
Kiongozi yeyote yule ukitaka uheshimiwe, hakikisha umelisoma somo la ETHICS na kuliishi kwa vitendo.
aache uropokaji kama ule wa heche na lisu, hatimae ataheshimiwa tuViongozi wengi wanakuwa wanachukiwa
Ni namna gani abadilike ili watu wamkubali na aheshimiwe?

Ajiheshimu na kuheshimu wengingine
alf shida siku hiz viongoz wengi ni wanafikiAsiwe mnafiki
Akipenda sana kuheshimiwa anaweza kutengeneza habari za uongo ili watu wamuheshimu tu, bila ya ukweli heshima haina maana.Akipenda inakuaje?
Akipenda sana kuheshimiwa anaweza kutengeneza habari za uongo ili watu wamuheshimu tu, bila ya ukweli heshima haina maana.
Mfano, jibu zuri la swali lako linaweza kuwa, ili kiongozi aheshiniwe, anatakiwa kuwaambia watu maneno ambayo yatawafanya wamuheshimu.
Vipi kama maneno hayo ni ya uongo?
kabisa haki ni muhimu piaAtende haki
📌📌📌📌📌📌📌📌📌📌📌📌📌📌📌📌📌📌📌📌📌📌📌📌📌📌📌📌📌📌📌📌📌👐Atende haki
Kwel tatizo ni kama anaongea alafu hatekelezi na kama hasikilizi keroAache mboyoyo nyingi afanye utekelezaji na kutatua kero za wannchi
Awe mzalendoViongozi wengi wanakuwa wanachukiwa. Ni namna gani abadilike ili watu wamkubali na aheshimiwe?
Asijione yeye ni alfa na omega kwenye nchi! Ajishushe na kuelewa haja za wananchi wake bila upendeleo kwa matajiri na kuwasahau masikini ambao sauti zao ni ndogo na.hazizingatiwi! Samia kama unasoma hapa onesha upendo kwa wananchi wenye kuhitaji faraja kutoka kwako. Aache kuwa sikiliza chawa kama kina tlatlaah na lucas mshamba!🙄Viongozi wengi wanakuwa wanachukiwa. Ni namna gani abadilike ili watu wamkubali na aheshimiwe?