Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 23,144
- 26,651
Hicho ni kiswahili usichokijiua ni nini? kumbe nawe ni kilaza kama Ritz? ok huwa sichoki kuwapa darasa watu kama wewe ndio JF, Malaya ni mtu hutiwa katika hali ya kuhitaji kipande cha mkate; Na kahaba humwinda mtu anase nafsi yake iliyo ya thamani, ama hujaelewa tu? turudi kwenye hoja ya mikaelPAwenda si hatuhitaji vihoja
Asante mkuu kwa jibu lako,umenifurahisha sana