Ni vigumu kumpata rafiki mtakae shibana

Ni vigumu kumpata rafiki mtakae shibana

pureman2

JF-Expert Member
Joined
Aug 21, 2019
Posts
1,491
Reaction score
2,563
Wakuu niende moja kwa moja kwenye mada.

Nikiwa kijana niliekulia mkoani na kuja jijini kuanza maisha. Ubora wa maisha kwa sehemu kubwa umepungua sana kwa kukosa radha ya rafiki wa karibu na mkweli.

Hali hii imekua ikinikabili mwaka wa sita sasa toka rafiki yangu wa toka utotoni kufariki kwa ajali ya bus akiwa kwenye harakati za utafutaji. Mungu ampe pumziko jema.

Namiss kuwa na rafiki ambaye yuko huru kunitafuta muda wowote pasina masharti. Mtu ambaye ramani azisomi ila anakuwa around kukusapoti hata kwa maneno ya utani tu. Mtu ambaye mnaweza zua msala kitaa afu akatoa sapoti as if yeye ndo msala unamhusu.

Kwa majibu ya JF najua mtasema tafuta mpenzi. Ukweli ni kuwa niko kwenye relationship and I'm still missing such company ya kiume.

Nimekua nikijichanganya Church ila no member ambao tuna match hobbies and life perspectives.

Mtaa ninaoishi imetokea una wazee wengi kuliko vijana wa kiume ambapo Kwa status yangu hakuna ambao tuna match lifestyle.

Kazini sitamani kuwa na rafiki wa kufuatana na kujuana private life kwani sisi sote based on our JDs hatupaswi kuaminiana kiihivyo.

Situation hii inanifanya kumkumbuka rafiki yangu . Najua kazi ya Mungu haina makosa ila najiuliza why ulimchukua mshikaji wangu mapema.

Wakuu ebu tujadili ni namna gani unaweza mpata rafiki wa kweli?

Karibuni kwa michango.
 
Fanya Tathmini Juu ya misimamo uliyojiwekea ktk maisha yako huenda umejifunga na misimamo yako
Ikiwa Shida bado ipo nenda hospitali onana na wataalamu wa afya ya akili
All the best ktk utekelezaji
 
Rafiki wa kweli wa Nini....... Mungu yupo semana Mungu




Wakuu niende moja kwa moja kwenye mada.

Nikiwa kijana niliekulia mkoani na kuja jijini kuanza maisha. Ubora wa maisha kwa sehemu kubwa umepungua sana kwa kukosa radha ya rafiki wa karibu na mkweli.

Hali hii imekua ikinikabili mwaka wa sita sasa toka rafiki yangu wa toka utotoni kufariki kwa ajali ya bus akiwa kwenye harakati za utafutaji. Mungu ampe pumziko jema.

Namiss kuwa na rafiki ambaye yuko huru kunitafuta muda wowote pasina masharti. Mtu ambaye ramani azisomi ila anakuwa around kukusapoti hata kwa maneno ya utani tu. Mtu ambaye mnaweza zua msala kitaa afu akatoa sapoti as if yeye ndo msala unamhusu.

Kwa majibu ya JF najua mtasema tafuta mpenzi. Ukweli ni kuwa niko kwenye relationship and I'm still missing such company ya kiume.

Nimekua nikijichanganya Church ila no member ambao tuna match hobbies and life perspectives.

Mtaa ninaoishi imetokea una wazee wengi kuliko vijana wa kiume ambapo Kwa status yangu hakuna ambao tuna match lifestyle.

Kazini sitamani kuwa na rafiki wa kufuatana na kujuana private life kwani sisi sote based on our JDs hatupaswi kuaminiana kiihivyo.

Situation hii inanifanya kumkumbuka rafiki yangu . Najua kazi ya Mungu haina makosa ila najiuliza why ulimchukua mshikaji wangu mapema.

Wakuu ebu tujadili ni namna gani unaweza mpata rafiki wa kweli?

Karibuni kwa michango.
 
Wakuu niende moja kwa moja kwenye mada.

Nikiwa kijana niliekulia mkoani na kuja jijini kuanza maisha. Ubora wa maisha kwa sehemu kubwa umepungua sana kwa kukosa radha ya rafiki wa karibu na mkweli.

Hali hii imekua ikinikabili mwaka wa sita sasa toka rafiki yangu wa toka utotoni kufariki kwa ajali ya bus akiwa kwenye harakati za utafutaji. Mungu ampe pumziko jema.

Namiss kuwa na rafiki ambaye yuko huru kunitafuta muda wowote pasina masharti. Mtu ambaye ramani azisomi ila anakuwa around kukusapoti hata kwa maneno ya utani tu. Mtu ambaye mnaweza zua msala kitaa afu akatoa sapoti as if yeye ndo msala unamhusu.

Kwa majibu ya JF najua mtasema tafuta mpenzi. Ukweli ni kuwa niko kwenye relationship and I'm still missing such company ya kiume.

Nimekua nikijichanganya Church ila no member ambao tuna match hobbies and life perspectives.

Mtaa ninaoishi imetokea una wazee wengi kuliko vijana wa kiume ambapo Kwa status yangu hakuna ambao tuna match lifestyle.

Kazini sitamani kuwa na rafiki wa kufuatana na kujuana private life kwani sisi sote based on our JDs hatupaswi kuaminiana kiihivyo.

Situation hii inanifanya kumkumbuka rafiki yangu . Najua kazi ya Mungu haina makosa ila najiuliza why ulimchukua mshikaji wangu mapema.

Wakuu ebu tujadili ni namna gani unaweza mpata rafiki wa kweli?

Karibuni kwa michango.
Tafuta pesa..........,,, ndio rafiki yako pekee ataekukutanisha na watu wa kila aina vinginevyo hakuna
 
Fanya Tathmini Juu ya misimamo uliyojiwekea ktk maisha yako huenda umejifunga na misimamo yako
Ikiwa Shida bado ipo nenda hospitali onana na wataalamu wa afya ya akili
All the best ktk utekelezaji
But misimamo ya mtu ndo inayomu define . Ni hatari kupoteza yo personal identity while trying to get true friend
 
Kwa dunia ya sasa rafiki ambae atakupa thamani ni hustle zako na pesa yako

Kama unaona hio statement ni uongo mkopeshe rafiki yako hela kama hauta poteza vyote
Hili ndo linalonitokea mara nyingi na kuona gap ya yule rafiki wa kweli aliyetangulia
 
Mkuu rafiki wa kweli hatafutwagi anakujaga mwenyewe pesa ndo inatafutwaga.
 
kuwa na urafiki wa transactional ni simple nafanya A then unafanya B imeisha hiyo
 
Sasa hivi kuna washkaji tu hakuna marafiki yani akizingua unamkataa unaambatana na wengine...urafiki wa sasa ni unafiki tu..chukua hii.
 
Mwanaume unatafuta rafiki wa kiume. Aisee nchi imejaa vijana wahovyo mwanaume rafiki yako ni pesa mengine ni kutafuta wa kukufukua ty
 
Yan mimi saizi rafiki yangu ni pesa tu, maana naona inanikutanisha na watu mbali mbali
 
Back
Top Bottom