Jamani katika pita pita yangu kwa mbali nikaona Habari kwenye Gazeti la Dar Leo 'Vigogo BOT wafutiwa Mashtaka' lakini sikufanikiwa kulitia mikononi gazeti lenyewe. ni kina nani hao au Gazeti lilikuwa linauza?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.