johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,036
- 142,131
Ni ushauri tu.
Kuna watu wamelifanyia makubwa sana hili taifa pamoja na CCM na Jumuiya zake lakini hawakumbukwi kabisa.
Nimuombe balozi mstaafu komredi Nchimbi atuandalie kumbukizi la Horace Kolimba kadhalika Kumbukizi la Kapteni John Komba.
Mungu wa mbinguni awabariki nyote.
RIP Kolimba
RIP John Komba
Kuna watu wamelifanyia makubwa sana hili taifa pamoja na CCM na Jumuiya zake lakini hawakumbukwi kabisa.
Nimuombe balozi mstaafu komredi Nchimbi atuandalie kumbukizi la Horace Kolimba kadhalika Kumbukizi la Kapteni John Komba.
Mungu wa mbinguni awabariki nyote.
RIP Kolimba
RIP John Komba