Ni Uwekezaji wa Hisia

basi bora kuminimize risk kwa portfolio ile unsystematic risk yote inakuwa hamna kadiri unavyoadd security mwisho wa siku unajikuta return kubwa risk ndogo

mkuu unasoma actuarial science nini? naona huko mna kanuni kali za portfolio analysis ila zinafanya kazi kweli? sasa unaminimize vipi risk kwa kulazimisha penzi na kuongeza wivu?
 
Mi nadhani kuwa na 'market information' ni muhimu ili kukwepa hiyo moral hazard. Ninachojaribu kusema hapani kwamba inatokea hali, kwa ajili ya asymetrical information, mtu anaingia mazima mapenzini, anawekeza hisia zake zote. Kibiashara , hili lipo pia ijapokuwa linaweza kuepukika kwa kufanya utafiti wa kutosha. Wengi wetu tunakuja kufanya utafiti 'tumeshafilisika' na hatuwezi tena kurecover hata tukipewa stimulus package...au sio

mkuu kwani kuna perfect market? kumbuka kuna fluctuation nyingi zinazosababisha market information zibadilike. kwa mfano, mtoto akizaliwa waume wengi wanadai wake zao hubadilika kabisa na kuwa viumbe wengine wasiowajua kabisa!
 
mkuu unasoma actuarial science nini? naona huko mna kanuni kali za portfolio analysis ila zinafanya kazi kweli? sasa unaminimize vipi risk kwa kulazimisha penzi na kuongeza wivu?
zinafanya kazi, sema tu hata ukiwa nao 500 unaweza kuminimize risk mpaka 20% kwa sababu kuna systematic risk kama wivu na hayo mengine ulosema vinabaki
 
Back
Top Bottom