Ni utapeli gani mkubwa ulishawahi kufanyiwa tujifunze kitu

Hehehehehehe
 
Ni hapa
 
Dodoma hiyo mjtqa ya majengo jamaa kategesha kasimu kqje njiani mjda ya saa mbili usiku,ile kupita tu akaipiga ikawa inawaka taa,fqster niaokota jamaa akatokeq eti njoo tuione kuna mtu kaidondosha,aliona vumbi mbwa yule,nikasepa na simu
🤣🤣🤣
 
Sitosahau Dogo aliniuzia Mayai mawili nikampa Elfu 10, Bwana Dogo akasema anaenda kuomba chenji akaniachia Kleti lake la Mayai..... Bwana yule hiyo chenji ndo ikawa chenji mazima, kuanzia Saa 7 hadi 11 Mtu hajarudi.... kwa kweli nikaamua kuyapiga tu yale Mayai aliyoyaacha na Washkaji maaana ilikua Gereji
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…