Ni utani tu

Ni utani tu

Wewe mtoto wa kiume....Umri unakwenda huo....Utatembea na mbegu mpaka lini....la sivyo utaitwa mjomba hadi unazeeka.

Chanzo: Kizingiti
Wacha wee! Unataka kijana wa kiume afanye nini na hizo mbegu? Kama hajapata 'shamba' je? Ametulia kimkakati ali atumie hizo mbegu siku na kwa 'shamba' mwafaka.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom