Ni usafiri gani bora wa basi Mbeya - Dar?

Ni usafiri gani bora wa basi Mbeya - Dar?

Huo sio ushauri kabisa.sitakuja panda cost za hakuna kulala zilitaka kunitoa roho miaka kama kumi iliyo pita.tulipata ajali mbaya dereva aliingia kwenye roli nyuma yeye alikata palepale nawalio kaa mbele walikatika miguuu
Nenda gerezani jioni buku 20 tu double Coaster hakuna kulala zinachomoka sa 2 usiku asb 12 uko Mbeya mwendo usiulize piga vidonge vya usingizi kula ushibe twende kazi.
 
Sawa, lakini haujawahi kupandisha watu Mbeya to Dar. na inawezekana hata Mbeya haujawahi kufika.
Hahahaa we Mbeya umekuja lini? Si tulikua hapo enzi za kina Jombi,Jengela,Sokolo,Kibo,Mwamajuja.
 
Chukua SAULI mkuu. Nauli ni 46000. Mbeya linaingia saa 1 mkuu. Lina sit nzuri
 
Back
Top Bottom