johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 104,319
- 183,600
Hivi sasa JK na Eddo wanafanya siasa za next level kiasi cha watu kuamini propaganda kuwa hawa boys2men wamefarakana. Lakini kwa macho ya ndani utaona ni dhahiri ccm ndiyo inayompeleka Lowasa ikulu. Hizi ni siasa za kisayansi JK alishajua mabadiliko ni lazima hivyo akamtanguliza Lowasa kunako change, hakutaka kurudia makosa ya Nyerere alipong'atuka. JK alipowaambia ccm wajiandae 'kisaikolojia' hakuwa anafanya mzaha, time will tell!