donlucchese
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 17,258
- 22,129
.
This is good for me. We need average people who have time to develop ideas sio hao msuli tembo mwisho wanaajiriwa kwenye technical jobs na wale average waliochagua biashara na kuwa matajiri.
Kingsman:The secret service.
Bonge la muviKingsman:The secret service.
Kwasasa mwenye max hizo ni raisi Wa nchi au ni kiongozi mkubwa nchini? Au ni tajiri mkubwa hapa nchini?
Kwasasa mwenye max hizo ni raisi Wa nchi au ni kiongozi mkubwa nchini? Au ni tajiri mkubwa hapa nchini?
Maajabu ni kwamba ukimfuatilia utamkuta ni kuli stand
Hongera sana
Ni ubora tu?Hongera sana
Tuoneshe ya form 6.
Nina imani kwamba form 6 one haikupatikana.
Are u serious? Achana na chuo nikuoneshe ya masters kabisa
Advance ni habari nyingine. Fm4 nikapata 1.9 ila 4m6 chupchup nikose 1Tuoneshe ya form 6.
Nina imani kwamba form 6 one haikupatikana.
Advance ni habari nyingine. Fm4 nikapata 1.9 ila 4m6 chupchup nikose 1