Ni tuhuma tu Lowassa kumbe si Fisadi!!

Ni tuhuma tu Lowassa kumbe si Fisadi!!

Usilifanye jambo hili la binafsi (don't take it Personal) litakuumiza sana!! Elewa maudhui ya Mada kisha changia. Maswali yako mengi yamejibiwa kwenye mabandiko yaliyopita, kama unaweza yapitie utaelewa.
Don't quote me wrong kaka
Kukubali au kukiri makosa yako ni tiba ya kwanza.kumshtumu waziri mkuu mpaka kujiuzulu ni jambo kubwa sana.kama kuna mtu ambaye amefanya kosa hilo lazima ajitokeze kuomba radhi!hatuwezi kupandilizwa chuki nchi nzima dhidi ya mtu msafi na watu wachache!kwa lengo gani?what was their motive?they have to take responsibilit of their actions¡kiongizi muongo hafai na hawezi kuaminiwa tena!asante kwa kukiri ni waongo
 
Don't quote me wrong kaka
Kukubali au kukiri makosa yako ni tiba ya kwanza.kumshtumu waziri mkuu mpaka kujiuzulu ni jambo kubwa sana.kama kuna mtu ambaye amefanya kosa hilo lazima ajitokeze kuomba radhi!hatuwezi kupandilizwa chuki nchi nzima dhidi ya mtu msafi na watu wachache!kwa lengo gani?what was their motive?they have to take responsibilit of their actions¡kiongizi muongo hafai na hawezi kuaminiwa tena!asante kwa kukiri ni waongo
Waziri Mkuu hakujiuzulu kwa sababu ya kushutumiwa na CHADEMA. Ndiyo maana nimesema humu kuna mabandiko mengi sana kuhusu hiyo mada, soma ili ujielimishe!!
 
Dah...Hili ni tusi kubwa sana kwa Mbowe, Lissu, Mnyika, Msigwa na Lema 😎
 
Kwako wewe maana ya tusi ni nini?


Dah.. ni maneno kama haya....

Hoja kubwa ya CHADEMA wakati ule na hata sasa ni kuwa kama kina Mwakyembe waliona Lowassa kaitia hasara nchi kwenye Kandarasi ya kufua umeme iliyohusisha Kampuni ya Richmond, kwa nini asifikishwe mahakamani? Kina Mbowe, Lissu, Msigwa, Mnyika na Lema kwa kutumia mbinu za kisiasa walikuwa wanasema kuwa inakuwaje wezi wa kuku wako magerezani wakati Lowassa yupo mtaani anadunda?[/QUOTE]
 
Waziri Mkuu hakujiuzulu kwa sababu ya kushutumiwa na CHADEMA. Ndiyo maana nimesema humu kuna mabandiko mengi sana kuhusu hiyo mada, soma ili ujielimishe!!
Waliosema ni fisadi ni nani?maana nkiuliza maswal mengi hunijib
 
Mimi si mtetei Lowassa ila unaposema NI Mwizi basi utueleze na siye unaotuambia kuwa ni mwizi kuwa kaiba nini?
Haya maswali kwa nini usiwaulize kina Mbowe Lema Mnyika Msigwa Kubenea na magazeti ya Mwanahalisi. Kila siku nakwambia Allen lakini hunielewi whyyyyyy. ????????. Umelipwa kiasi gani. Kamanda. Acha bana
 
Haya maswali kwa nini usiwaulize kina Mbowe Lema Mnyika Msigwa Kubenea na magazeti ya Mwanahalisi. Kila siku nakwambia Allen lakini hunielewi whyyyyyy. ????????. Umelipwa kiasi gani. Kamanda. Acha bana
Nimelipwa na nani nini ndugu yangu. Mbona uwezo wa kununua bando ninao mimi mwenyewe!!
 
Nimelipwa na nani nini ndugu yangu. Mbona uwezo wa kununua bando ninao mimi mwenyewe!!
Manake unavyoongea utafikiri makamanda wale viongozi hawajawahi zungumza chochote kuhusu tuhuma za ufisadi. Its shame. Lakini walikuwa wakisema wana ushahidi wa kutosha. Hivi huu wote ulikuwa uongo kwa Taifa au unalichukuliaje hili. Ni aibu. Kama walikuwa wakiongopea Taifa basi hawafai kamwe kupewa madaraka katika nchi hii. Never on earth
 
Manake unavyoongea utafikiri makamanda wale viongozi hawajawahi zungumza chochote kuhusu tuhuma za ufisadi. Its shame. Lakini walikuwa wakisema wana ushahidi wa kutosha. Hivi huu wote ulikuwa uongo kwa Taifa au unalichukuliaje hili. Ni aibu. Kama walikuwa wakiongopea Taifa basi hawafai kamwe kupewa madaraka katika nchi hii. Never on earth
Lakini uongo kwenye siasa ni nini? Kuna mtu alisema baada ya miezi miwili ajira zitaanza tena kutolewa serikalini mpaka sasa kimya, naye ni muongo na hafai kuendelea na madaraka yake aliyo nayo?
 
Lakini uongo kwenye siasa ni nini? Kuna mtu alisema baada ya miezi miwili ajira zitaanza tena kutolewa serikalini mpaka sasa kimya, naye ni muongo na hafai kuendelea na madaraka yake aliyo nayo?
Tofautisha kati ya kitu halisi ambacho ni lazima kutokea ni suala la muda tu na kitu cha uongo ambacho tulikiamini wananchi wengi na ambacho ukweli wake hautakaa ujulikane kwa sababu maushahidi yote makamanda wameyazika chini, wameyachoma. Hakuna cha ushahidi wala babake shahidi
 
Tofautisha kati ya kitu halisi ambacho ni lazima kutokea ni suala la muda tu na kitu cha uongo ambacho tulikiamini wananchi wengi na ambacho ukweli wake hautakaa ujulikane kwa sababu maushahidi yote makamanda wameyazika chini, wameyachoma. Hakuna cha ushahidi wala babake shahidi
Wameuzika au waliuchomea wapi huo ushahidi?
 
Back
Top Bottom