Poleni kwa majukumu ya kila siku
Kuna rafiki yangu mmoja ni wa kike ok alikuwa Gf wangu zamani alikuwa chuoni nikabainisha kuwa alikuwa na mahusiano
na mtu mwingine nikaona huu ni utumbo wa bata nikampiga chini.Basi akaendelea na yule jamaa mi sikumwacha kwa ubaya
so tukawa marafiki akitaka ushauri alikuwa ananitafuta hata sasa ananitafutaga anapohitaji ushauri.Basi baada ya muda wakaachana
na jamaa sikutaka kujua kwanini akampata mwingine sasa juzi kanitafuta anataka amteme huyu jamaa wa sasa amrudie yule wa pili
yaani aliye achana naye je hii tutaataje sasa anashindwa eti afanye nini
Kuna rafiki yangu mmoja ni wa kike ok alikuwa Gf wangu zamani alikuwa chuoni nikabainisha kuwa alikuwa na mahusiano
na mtu mwingine nikaona huu ni utumbo wa bata nikampiga chini.Basi akaendelea na yule jamaa mi sikumwacha kwa ubaya
so tukawa marafiki akitaka ushauri alikuwa ananitafuta hata sasa ananitafutaga anapohitaji ushauri.Basi baada ya muda wakaachana
na jamaa sikutaka kujua kwanini akampata mwingine sasa juzi kanitafuta anataka amteme huyu jamaa wa sasa amrudie yule wa pili
yaani aliye achana naye je hii tutaataje sasa anashindwa eti afanye nini