Zee Korofi
JF-Expert Member
- Oct 5, 2021
- 1,612
- 1,410
Leo nimekuja tofauti, nataka tuongee hili,,mimi binafsi nina tabia za ajabu kidogo ambazo huwafanya wasichana waniogope sana.
Sijui kubembeleza, sina jokes na wasichana ambao si plan kutoka nao mbeleni. Siruhusu mazoea hata 0% na wasichana kwa sababu tajwa hapo.
Kwa hili wengi wananiona wa ajabu na wakati mwingine hudukua convos zao wakinisema kuwa ni mtu machachari na jeuri, yaani wakinijadili kwa kina na kuonesha kuniogopa.
Kwenye simu yangu nina namba za wapenzi wangu 2 tu na za ndugu. Sina cha namba ya rafiki wa kike wala nini. Nina miziki 3 tu ambayo naisikiliza hiyo.
Aisee nasemwa mno na naogopwa kwa hili, japo mimi naona ni kawaida tu na nashangaa wao kuona kwa upana huu.
Nashindwa kuelewa wao wanataka niweje, au ni behave vipi ili wanione nipo kawaida? Ni mtambuka!.
Sipendi kuongea mara mbili mbili wala 'kucheka' na wanawake. Nikimhitaji namuambia direct namsikiliza yeye.
Hizo ndizo tabia zinazonifanya niogopwe na kuonekana kama sina akili timamu na hawa wanawake sometimes!
What about you? Karibuni tujadili!
Sijui kubembeleza, sina jokes na wasichana ambao si plan kutoka nao mbeleni. Siruhusu mazoea hata 0% na wasichana kwa sababu tajwa hapo.
Kwa hili wengi wananiona wa ajabu na wakati mwingine hudukua convos zao wakinisema kuwa ni mtu machachari na jeuri, yaani wakinijadili kwa kina na kuonesha kuniogopa.
Kwenye simu yangu nina namba za wapenzi wangu 2 tu na za ndugu. Sina cha namba ya rafiki wa kike wala nini. Nina miziki 3 tu ambayo naisikiliza hiyo.
Aisee nasemwa mno na naogopwa kwa hili, japo mimi naona ni kawaida tu na nashangaa wao kuona kwa upana huu.
Nashindwa kuelewa wao wanataka niweje, au ni behave vipi ili wanione nipo kawaida? Ni mtambuka!.
Sipendi kuongea mara mbili mbili wala 'kucheka' na wanawake. Nikimhitaji namuambia direct namsikiliza yeye.
Hizo ndizo tabia zinazonifanya niogopwe na kuonekana kama sina akili timamu na hawa wanawake sometimes!
What about you? Karibuni tujadili!