Kuepusha kupigiwa mahesabu pesa Yako siyo sawa, Soma hiki kitabu Cha Rich Dad, Poor Dad utapata jibu ninacho kwa lugha ya kiswahili nicheki WhatsApp 0756704145Jamani naombeni kuuliza hivi ni sawa mzazi, baba au mama kujua kiwango cha mshahara wangu?
Uliza aliekuzaaJamani naombeni kuuliza hivi ni sawa mzazi, baba au mama kujua kiwango cha mshahara wangu?
Mimi nauliza mke je vipi ni muhimu ajue?Jamani naombeni kuuliza hivi ni sawa mzazi, baba au mama kujua kiwango cha mshahara wangu?
Bwashee ukipiga kismat chako huna bayaMimi hata mzazi sijui kama anajua nafanya kazi gani au sifanyi kabisa🤔
Kismat ndio nini bwashee?Bwashee ukipiga kismat chako huna baya
Ukiisha pokea mshahara wakabidhi wakupangie namna ya kutumiaJamani naombeni kuuliza hivi ni sawa mzazi, baba au mama kujua kiwango cha mshahara wangu?
Huyo ni smart jini. a.k.a masikio sungura.Kismat ndio nini bwashee?
Basi wewe sio mlevi kama unavyojinadiKismat ndio nini bwashee?
Hahahah ndio navisikia bwasheeHuyo ni smart jini. a.k.a masikio sungura.
Sio kila pombe utazifahamu mkuu, labda ni pombe mavi ambazo mimi situmiii mkaliBasi wewe sio mlevi kama unavyojinadi