Ni sawa kuwa na mazoea na shemeji?

Ni sawa kuwa na mazoea na shemeji?

Eng Mose

JF-Expert Member
Joined
Jan 10, 2017
Posts
242
Reaction score
323
Wadau kuna jambo hapa,

Hivi ni sawa kuwa na mazoea na shemeji yako? Mke wa kaka yako au mdogo wake mke/mchumba?

Mazoea ya kwaida tu haimaanishi mazoea mengine, ila kuchati kushirikishana jambo la kimaisha pia kimaendeleo.

Ni sawa?
 
Shemeji yako ni family member wako kama alivyo kaka au Dada yako hivo ukicheza Naye ujue unazini na Dada ako au kaka ako usipokuwa na maelewano nayo ni sawavna kuacha kusema na kaka ako au Dada yako.
Tahadhari vijana heshimuni masheji zenu hiyo hanaga...... mwachie manfongo huko mtaani.
 
Wadau kuna jambo hapa, hivi ni sawa kuwa na mazoea na shemeji yako!? Mke wa kaka yake au mdogo wake mke/mchumba!!!? Mazoea ya kwaida tu haimaanishi mazoea mengine, ila kuchati kushirikishana jambo la kimaisha pia kimaendeleo... Ni sawa?
Mke wa kaka yake mke wako
 
Ni sawa,ila kuna wimbo unaitwa hainaga ushemeji...
 
Usipende kuzoea mke wa nsg au hata rafiki yako si vzr, bora uie na uwe na mazoea na mke wa kwako ww
 
tambua mipaka yako.....fanya ufanyalo ila zingatia hilo la kwanza
 
Akifa Mke wako unaweza kuoa mdogo wake sasa hapo utakuwa umeoa Dada yako?
 
Back
Top Bottom