JWANY DA KING
JF-Expert Member
- Sep 11, 2017
- 201
- 183
Kama una uwezo wa kupokea zawadi na kuwa mbali naye basi fanya hivyo.. ila kama huwezi, kaa mbali na zawadi zake, maana si rahisi kwamba upokee zawadi zake halafu usipashe kiporo.. ni ngumu... Ila kama bado una hisia naye, pokea, then muda ukifika unapasha kiporo bila hofuNdio maana nahofia kuchukua kwasababu sna plan ya kua nae karibu.
Kwa hiyo unapoandika huu uzi bado mkono wake umenyooka unakupatia hiyo zawadi?
UsipokeeKwahiyo nikipokee?
Mimi sinaga urafiki baada ya kuachana na mwanamke. Kilichotuunganisha mwanzo ni mapenzi na sasa yameisha kila mtu aishi na maisha yake na mpenzi wake mpya.Wakat tunaachana hatukuachana vizuri lkn baadae tukasameheana tukawa tunaongea km rafiki wa kawaida mara moja moja mpk sasa.
Mimi nikiachana na mwanamke, that's a one way ticket. Sina cha urafiki wala nini kwa maana kilichotuunganisha ni penzi na sasa limeisha.Huyo anataka mrudiane kashagundua alikosea au anataka akutumie tuu asepe... na hiki ndio kipimo cha akili ya mwanamke
😂😂😂 DaahKwa hiyo unapoandika huu uzi bado mkono wake umenyooka unakupatia hiyo zawadi?
...Unaitaka hiyo zawadi! Ukiwapa wadogo zako si ndio umeipokea???Ex boyfriend wng ameniletea zawadi. Yeye anasema niza birthday wakati birthday yng ilikua october ila yeye alikuwa ameenda nchini kwao sasa amerudi ameniletea zawadi anasema za birthday. Wakat tunaachana hatukuachana vizuri lkn baadae tukasameheana tukawa tunaongea km rafiki wa kawaida mara moja moja mpk sasa. Sasa ameniletea zawadi Nashindwa kuelewa nipokee au nirudishe? Au niwape wadogo zngu?
Acha mburula ipigwe mti nyama😂,,,Hata Q chief aliimba kiporo hakiitaji moto mwingiUkijua kwanini mliachana, ukajiuliza kwanini anataka kurudisha ukaribu... utakua na maamuzi sahihi
My luv wako si kitunguu maji yule😂Mimi..Mambo ya EX sitaki hata kusikia..Hapa namuwaza mylove TU...natamani Angekuwepo close to me...
Oooooh
SITAKI EX wala sirudu nyuma
Jambo moja uanzisha jambo lingine.. Umesha ingia kwenye target
Unaweza kufikiri ni mburula kumbe amerudi kummaliza jamaa yako. Not every opinion is worth your energy!Acha mburula ipigwe mti nyama😂,,,Hata Q chief aliimba kiporo hakiitaji moto mwingi