Ni sahihi kwa viongozi mbalimbali kumlazimisha Magufuli kuongeza muda wake madarakani...
Je ameshafikia hata nusu ya Yale aliyoyafanya hayati MWL.Julius Kambarage Nyerere....
Aliyo ahidi atayatekeleza yote anahitaji pongezi au la
Kwa uzuri gani Haya aliyoyafanya ni viporo vya marehem mkapa labda ndege tu lakini hana jipya
Ni sahihi kwa viongozi mbalimbali kumlazimisha Magufuli kuongeza muda wake madarakani...
Je ameshafikia hata nusu ya Yale aliyoyafanya hayati MWL.Julius Kambarage Nyerere....
Aliyo ahidi atayatekeleza yote anahitaji pongezi au la
Hata kama angefanya mazuri zaidi ya malaika, lakini Sheria na Katiba ya nchi lazima hieshimiwe. Ndio maana wakaweka ukomo wa Miaka ya Uraisi.Ni sahihi kwa viongozi mbalimbali kumlazimisha Magufuli kuongeza muda wake madarakani...
Je ameshafikia hata nusu ya Yale aliyoyafanya hayati MWL.Julius Kambarage Nyerere....
Aliyo ahidi atayatekeleza yote anahitaji pongezi au la
Sisemi Magufuli ni dictator Ila nchi zenye viongozi mfano Kama wake zimeonekana zikipata maendeleo kwa mfano raisi wa kwanza wa China MAO ZEDONG ndiye aliyeifikisha China ilipo..Mmerudi tena na hoja zenu za kuongezewa muda!Wako watu wazuri tu ndani ya ccm hata nje ya ccm wanafaa kuongoza nchi na tukafika mbali.Mazuri unayoyaona leo mengi yalianzishwa awamu zilizopita na isitoshe anakamilisha tu,hao waliopita wangeamua kujiongezea muda angekuwepo leo?Acheni tamaa kwakuwa mnafaidika na uwepo wake!Anamazuri yake na mapungufu yake pia,mwacheni akimaliza muda wake apumzike aje mwingine!
Viporo vya mzee Mkapa kwa nini kikwete hakuvifanya miaka yote kikwete alikuwa mzembe tu lakin huyu nae hana jipya mengi ni ya mkapa
Watu wanamsifia sana Mkapa baada ya kufariki.Ni sahihi kwa viongozi mbalimbali kumlazimisha Magufuli kuongeza muda wake madarakani?
Je ameshafikia hata nusu ya yale aliyoyafanya hayati MWL.Julius Kambarage Nyerere..
Kwa asilimia kubwa atakuwa ametekeleza mengi Kati ya yale aliyoahidi lakini je raisi atakayekuja atakuja kivingine....
Ama ni 10 kwa 10 kisha sepa zako
Mkapa hakukaa kimya kuhusu term limits.Role model wake (alye pumzishwa leo nyumba ya milele) alikaa kimya kimtego, maana yake ni kwamba hakukubaliana na kuongezewa muda, binafsi najua JPM mtego huu hataukubali ili a-keep standards...
Hii ndio shida ya kuwa na vyeti fakemimi hata hii mitano nimeona ni mingi. ingekuwa mimi ndo tanzania basi ningeshamtimua kwenye urais toka 2016
Fikiri kabla ya kutenda ujenzi na nidhamu kaziniAutomatically Magufuli inabidi aongezewe muda tu. Kupitia Magufuli tutafika mbali sana kama nchi na itachukua miaka mingi kumpata mtu mwenye dhamira ya dhati kama Magufuli.