zagarinojo
JF-Expert Member
- Jul 26, 2020
- 2,622
- 2,835
Ni sahihi kwa viongozi mbalimbali kumlazimisha Magufuli kuongeza muda wake madarakani?
Je ameshafikia hata nusu ya yale aliyoyafanya hayati MWL.Julius Kambarage Nyerere..
Kwa asilimia kubwa atakuwa ametekeleza mengi Kati ya yale aliyoahidi lakini je raisi atakayekuja atakuja kivingine....
Ama ni 10 kwa 10 kisha sepa zako
Je ameshafikia hata nusu ya yale aliyoyafanya hayati MWL.Julius Kambarage Nyerere..
Kwa asilimia kubwa atakuwa ametekeleza mengi Kati ya yale aliyoahidi lakini je raisi atakayekuja atakuja kivingine....
Ama ni 10 kwa 10 kisha sepa zako