Kokubanza-G labda nikupe hints chache tu labda zitasaidia:
1.Mwanamke mara nyingi anawahi kuzeeka kwa sababu mbalimbali kama vile kuzaa,dio maana inapendekezwa mume kuwa walau mkubwa kuliko mkewe kwa miaka kadhaa.
2.Haiko sientifically proved lakini insemekana watu wanaooana umri mmoja mara nyingi heshima huwa kidogo sana au hamna kabisa,nina afiki zangu kama wawili hivi walioexpirience hilo jambo.
3.Kwa kuwa mume nidye apaswa kuwa kichwa cha famili inapendeza angalau awe amemzidi mkewe miaka kadhaa ili kumheshimu mume kuonekane kihalisi kwamba yeye ni mkubwa kwako si kifamilia tu bali hata umri.
Hizo ni facts chache tu zihusuzo mahusiano ya watu ambayo huenda yakaishia kwenye ndoa lakini umri wanaendana,lakini hizo zisikupe presha na kiwewe,si mara zote mabo yaweza kuwa hivyo.
so kaa chini ufikirie pande zote mbili na kisha ufanye maamuzi sahihi ili usije jutia maisha yako ya ndoa.