Je nichukue hatua gani kuilazimisha halmashauri kutekeleza hukumu iliyotolewa na mahakama?

Mzee wa Twitter

JF-Expert Member
Nov 5, 2023
1,282
2,041
Wadau Wanasheria naomba msaada wenu juu ya hatua za kuichukulia Halmashauri iliyokataa kutekeleza HUKUMU ya MAHAKAMA KUU ya Mgogoro wa kiwanja.
Baada ya Kushinda Kesi nilimwandikia Mkurugenzi wa Manispaa juu ya Ushindi wa Kesi ya Ardhi na kuambatanisha Nakala ya Hukumu lakini Sikujibiwa hiyo barua na hakuna Utekelezaji wowote uliofanyika mpaka leo.Je Wanasheria ni HATUA zipi natakiwa Kumchukukia huyo MKURUGENZI wa Manispaa ili Atekeleze HUKUMU iliyotolewa?

Sent from my SM-A145R using JamiiForums mobile app
 
Wadau Wanasheria naomba msaada wenu juu ya hatua za kuichukulia Halmashauri iliyokataa kutekeleza HUKUMU ya MAHAKAMA KUU ya Mgogoro wa kiwanja.
Baada ya Kushinda Kesi nilimwandikia Mkurugenzi wa Manispaa juu ya Ushindi wa Kesi ya Ardhi na kuambatanisha Nakala ya Hukumu lakini Sikujibiwa hiyo barua na hakuna Utekelezaji wowote uliofanyika mpaka leo.Je Wanasheria ni HATUA zipi natakiwa Kumchukukia huyo MKURUGENZI wa Manispaa ili Atekeleze HUKUMU iliyotolewa?

Sent from my SM-A145R using JamiiForums mobile app
ongeza MAELEZO. Eneo ni kiwanja kilichowazi au kinakaliwa na serikali
 
Mgogoro wa hiko kiwanja, ulikiwa wa aina gani? Fafanua
Unaweza kushinda kesi kumbe wenzio wamekwenda mbali zaidi..
Kuna kitu kinaitwa kukazia hukumu...
 
Wadau Wanasheria naomba msaada wenu juu ya hatua za kuichukulia Halmashauri iliyokataa kutekeleza HUKUMU ya MAHAKAMA KUU ya Mgogoro wa kiwanja.
Baada ya Kushinda Kesi nilimwandikia Mkurugenzi wa Manispaa juu ya Ushindi wa Kesi ya Ardhi na kuambatanisha Nakala ya Hukumu lakini Sikujibiwa hiyo barua na hakuna Utekelezaji wowote uliofanyika mpaka leo.Je Wanasheria ni HATUA zipi natakiwa Kumchukukia huyo MKURUGENZI wa Manispaa ili Atekeleze HUKUMU iliyotolewa?

Sent from my SM-A145R using JamiiForums mobile app
Kazia Hukumu.

Aidha, kwa kuwa umedai kwamba Kesi hiyo ilikuwa inasikilizwa Mahakama Kuu (Divisheni ya Ardhi), ni vyema ukaambatisha na nakala ya Hukumu ya Kesi ili wajuvi waweze kukushauri vizuri. Au taja namba ya Kesi hiyo ili wajuvi waweze kufanya perusal wao wenyewe kwenye mtandao wa Tanzlii au kwenye kumbukumbu za Mahakama.
 
Kama mahakama imeshatoa hukumu we endelea na shughuli zako tu hapo Kiwanjani, waache halmashauri wao ndo watafute msaada wa kisheria
 
Wadau Wanasheria naomba msaada wenu juu ya hatua za kuichukulia Halmashauri iliyokataa kutekeleza HUKUMU ya MAHAKAMA KUU ya Mgogoro wa kiwanja.
Baada ya Kushinda Kesi nilimwandikia Mkurugenzi wa Manispaa juu ya Ushindi wa Kesi ya Ardhi na kuambatanisha Nakala ya Hukumu lakini Sikujibiwa hiyo barua na hakuna Utekelezaji wowote uliofanyika mpaka leo.Je Wanasheria ni HATUA zipi natakiwa Kumchukukia huyo MKURUGENZI wa Manispaa ili Atekeleze HUKUMU iliyotolewa?

Sent from my SM-A145R using JamiiForums mobile app
Rudi mahakamani ukakazie hukumu.
Pia tafuta wakili akuongoze maana unavyoianika hii ishu hapa unawapa nafasi watesi wako wajipange
 
Kazia Hukumu.

Aidha, kwa kuwa umedai kwamba Kesi hiyo ilikuwa inasikilizwa Mahakama Kuu (Divisheni ya Ardhi), ni vyema ukabatisha na nakala ya Hukumu ya Kesi ili wajuvi waweze kukushauri vizuri. Au taja namba ya Kesi hiyo ili wajuvi waweze kufanya perusal wao wenyewe kwenye mtandao wa Tanzlii au kwenye kumbukumbu za Mahakama.

Mzee wa Twitter haya ukitaka kufanya nenda inbox

Mawakili wa kweli humu wanajulikana, kama hapo juu Matola n.k.
 
Back
Top Bottom