Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 17,908
- 32,357
Unafikiri huo ushezi sifanyi
Msaidiee wee, acha tabia mbayaa ya uchoyo na ubinafsi, huijui kesho yako. LolNisingependa kutumia neno hilo ila inabidi just imagine bwana ni bodaboda ila wa day worker anaweza kupita week hajapata chombo na mwanamke hana biashara yoyote
Ukiwa hauna hela unadharaulika sana. Majina mabaya mabaya yote unapewa.
Hayo mambo ya uswahili, bora uyakemee mapema
Yaan watu wakisha shika pesa na kuinuka kimaisha wana sahau walikotokaa kabisaa.Ukiwa hauna hela unadharaulika sana. Majina mabaya mabaya yote unapewa.
Una tabia ya uchoyoo na ubinafsi km ni kweliWewe huyu ni wale wanaume wake zao wamewalisha kinyeo yani mwanamke anabishana na mumewe anbaye anamuweka mjini na bado mwanaume anakuwa mpole anasema samahan mama usikasilike kesho nitaleta vitunguu umchotee
Mtoa mada acha uchoyo na ubinafsi, huijui kesho yako, nasikitika mkeo kapata mwanaume mwenye roho mbaya. Khaaaah.
Hao ndio majirani na watu wako wa karibu, ukumbuke hilo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndo maana nimekuja kuuliza nipate mwanga kama kuna mipaka ya watu kushirikiana mambo fulani yanaohusu wenzi..poa nachukua maoni yako kwamba ni sawa kusaidiana vyakula.asante nathamini mchango wakoMtoa mada acha uchoyo na ubinafsi, huijui kesho yako, nasikitika mkeo kapata mwanaume mwenye roho mbaya. Khaaaah.
Hao ndio majirani na watu wako wa karibu, ukumbuke hilo.
Sent using Jamii Forums mobile app
😄😄😄😄 khaaaSio sahihi maisha magumu sana mimi ex wangu tulishindwana hivy ukimpa pesa anaend kwa shots zake na kuaza kuwatambishia ukimnunulia ngua kesho unakuta kava shoga yake tumeachana siwez hudumia wanawake wawil af mmoja analiwa na mwingine
Asante sana na hili ndilo ninalofikiria kwa sasa..leo ilikuwa nikanunue vya jumla lakini mienendo ya siku za nyuma imeniwazisha nafikiria kurudi tena kwenye vya reja reja.Mbona zoezi ni dogo sitisha kununua vitu kwa jumla tu.kisha anza kama jamaa kuacha kodi ya kichwa kidogo mnooo na siku nyingine usiache.
Yy ataelewa kwa vitendo kua unamanisha nn mpk hapo.
Uzuri hiyo ni nyumba ya kupanga siyo yako ,kwa hiyo hama haraka sanaAssume una mke mdogomdogo mama wa nyumbani na bado hamjapata mtoto, sasa mnaishi kwenye nyumba moja mko wapangaji wawili tu; yaani mtu na mkewe ambao hawana pia mtoto ila wenyewe hawana kazi ya kipato cha kati, wanaunga unga maisha yaendelee.
Mara nyingi mume wake anatoka asubuhi anarudi usiku leo kapata kidogo kesho kakosa nyakati nyingi hamuachii mkewe hela yoyote ya mezani.
sasa wewe kipato chako sio haba sana unapata salary mpaka ya kuwa na na uwezo wa kununua vitu vya jumla ukaweka ndani mchele, mafuta, unga, gas,nyanya,vitunguu na kadhalika.
Sasa inaibuka tabia ya mkeo kuanza ku share kupika na yule mdada mpangaji..na mke anakutamkia wazi kabisa kwamba wanashirikiana kupika jirani yake huyo ananunua mboga na viungo vya mchana halafu mimi tanunua mboga za usiku.
Anadai kwamba hata kwao kijijini ulimpomtoa huwa wanapika na wifi yake wanakula pamoja na kwamba hajazoea maisha ya choyo. Anadai niwaache waendelee kushirikiana kwa sababu chakula cha kula mwenyewe hakimnogei ikumbukwe me huwa natoka asubuhi na mchana nakula kazini narudi usiku tu.
swali langu wakuu wenye uzoefu mnaonaje je hapo hakuna kuhujumiana kweli maana me nahisi kwa uwezo wangu ndo natoa mchango mkubwa sijawahi kuona wao wanunue vitu kwa jumla.
Je, nimkubalie mke wangu tu alivyozoea kumsaidia jirani yake? Maana kweli kuna siku za kuishiwa pengine jirani yake atamsaidia pia chakula alichonach,o ila sasa roho inauma maana nahisi kama mke wangu hana uchungu na maisha yalivyo magumu; anahisi me napata hela nyingi huku kazini.
Hali hio ni ya kawaida kweli kwa mke kusaidiana kupika na kuosha vyombo na mpangaji mwenzake wa pekee na umri wa mke ni miaka 18.