NostradamusEstrademe JF-Expert Member Joined Jul 1, 2017 Posts 3,862 Reaction score 5,153 May 22, 2025 #1 Nimeona niulize kupita ukurasa huu ni kitu gani hasa kinachosababisha mimba kutoka Mods najua hii mada hii sio sehemu yake naomba muiache kwanza watu waelimike mtakuja kuhamishia kule baadae
Nimeona niulize kupita ukurasa huu ni kitu gani hasa kinachosababisha mimba kutoka Mods najua hii mada hii sio sehemu yake naomba muiache kwanza watu waelimike mtakuja kuhamishia kule baadae
Nyafwili JF-Expert Member Joined Nov 27, 2023 Posts 5,959 Reaction score 15,176 May 22, 2025 #2 Sababu ni nyingi, weka wazi mimba huwa inatoka ikiwa imefika wiki ya ngapi au trimester ipi??
Mr Devil JF-Expert Member Joined Jul 7, 2019 Posts 15,227 Reaction score 35,300 May 22, 2025 #3 1)hormone imbalance Zingine wataendelea
Madihani JF-Expert Member Joined Apr 30, 2015 Posts 6,326 Reaction score 7,529 May 22, 2025 #4 Ni laana. Umelaaniwa. Mfano watu wengi walio kwenye Dola(wanaoumiza watu au kuunga mkono) wanapata hizi changamoto.
Ni laana. Umelaaniwa. Mfano watu wengi walio kwenye Dola(wanaoumiza watu au kuunga mkono) wanapata hizi changamoto.
Mamndenyi Platinum Member Joined Apr 11, 2011 Posts 44,689 Reaction score 64,709 May 22, 2025 #5 Stress Uchungu mpaka unaingia moyoni
muhomakilo jr JF-Expert Member Joined Jul 28, 2013 Posts 15,906 Reaction score 14,873 May 22, 2025 #6 Kama umegongesha sana besera( kutoa mimba) mji wa mimba unakuwa weak, hivyo ujauzito kuwa rahisi kutoka....By Dk Macheni.
Kama umegongesha sana besera( kutoa mimba) mji wa mimba unakuwa weak, hivyo ujauzito kuwa rahisi kutoka....By Dk Macheni.