umukagame
JF-Expert Member
- Apr 10, 2014
- 1,044
- 675
Habari zenu wakuu,
Naamini mko poa kabisa na mnaendelea na mishe kama kawaida.
Sasa katika kipindi ambacho nimekuwa mpweke akatokea mkaka mmoja kiukweli nimefahamiana nae humu humu Jf,
tukawa tunachati sana mwishowe tukahamia whatsup ni mkaka very smart, very sweet Msukuma.Tatizo ana mke ndoa bado changa sana, nikamuonea huruma nikaanza kumsifia mkewe kuwa mzuri na bla bla kibao ili aniheshimu, basi nikaenda siku moja nikaonana nae.
It was so fantastic japo tulionana kwa mda mchache sana csababu mimi nipo nje ya Dar kikazi. tukafurahi kuonana then huyoo akarudi zake town, baada ya hapo tukaendelea na mawasiliano my love nyingi, mara baby na mengineyo kama wapenzi vile hata sielewi mie! Iko hivi huwa sipendi kuwa na urafiki usiokuwa na faida, i mean kwamba niwe na rafiki ambaye mwisho wa siku anisaidii lolote even mawazo ( basi juzi nmekaa nikasema nimjaribu, hiyo text ( mylove nisaidie laki 3 i wll refund you) akajibu ok babylove latter kidogo nikasema ok.
Baada ya saa moja akanitumia ile hela kiukweli sikuwa na shida nayo! Sasa hapa nawaza sijui nimrudishie au nipotezee
embu kwa situation kama hii ingekuwa wewe ungefanyaje, lengo langu nilitaka nijue tu kama ni rafiki anaweza nisaidia na kunijali siku niko na shida.
Naamini mko poa kabisa na mnaendelea na mishe kama kawaida.
Sasa katika kipindi ambacho nimekuwa mpweke akatokea mkaka mmoja kiukweli nimefahamiana nae humu humu Jf,
tukawa tunachati sana mwishowe tukahamia whatsup ni mkaka very smart, very sweet Msukuma.Tatizo ana mke ndoa bado changa sana, nikamuonea huruma nikaanza kumsifia mkewe kuwa mzuri na bla bla kibao ili aniheshimu, basi nikaenda siku moja nikaonana nae.
It was so fantastic japo tulionana kwa mda mchache sana csababu mimi nipo nje ya Dar kikazi. tukafurahi kuonana then huyoo akarudi zake town, baada ya hapo tukaendelea na mawasiliano my love nyingi, mara baby na mengineyo kama wapenzi vile hata sielewi mie! Iko hivi huwa sipendi kuwa na urafiki usiokuwa na faida, i mean kwamba niwe na rafiki ambaye mwisho wa siku anisaidii lolote even mawazo ( basi juzi nmekaa nikasema nimjaribu, hiyo text ( mylove nisaidie laki 3 i wll refund you) akajibu ok babylove latter kidogo nikasema ok.
Baada ya saa moja akanitumia ile hela kiukweli sikuwa na shida nayo! Sasa hapa nawaza sijui nimrudishie au nipotezee
embu kwa situation kama hii ingekuwa wewe ungefanyaje, lengo langu nilitaka nijue tu kama ni rafiki anaweza nisaidia na kunijali siku niko na shida.