Visionmark
Senior Member
- Nov 24, 2011
- 158
- 28
Kwa muda mrefu sasa ndani ya Tanzania yetu tumekuwa tukishuhudia viongozi wa kiserikali tuliowapa dhamana ya kulinda na kusimamia matumizi bora na endelevu ya raslimali zetu wakisema uongo.
Viongozi wetu wamekuwa wakitudanganya sio tu makanisani bali hata misikitini, majumbani mwetu, mitaani, mahakamani, ikulu, maofisini, vijijini, mijini, mashambani na hata ndani ya bunge letu tukufu! Hv ni pahala gani hv sasa ndani ya Tz ambapo viongozi wetu wanaweza kuongea nasi pasipo kutwambia uongo!
Viongozi wetu wamekuwa wakitudanganya sio tu makanisani bali hata misikitini, majumbani mwetu, mitaani, mahakamani, ikulu, maofisini, vijijini, mijini, mashambani na hata ndani ya bunge letu tukufu! Hv ni pahala gani hv sasa ndani ya Tz ambapo viongozi wetu wanaweza kuongea nasi pasipo kutwambia uongo!