mapesa yamejaa
JF-Expert Member
- Dec 29, 2021
- 1,404
- 3,420
Hilo daraja siyo kwamba linajengwa kwa kuangalia mapato yanayokusanywa zanzibar bali inatumika nafasi ya urais kuwa ni mzaliwa wa zanzibar.
Sawa ulivyo sikia lakini kidogo hukupata habari ilivyo.Nimesikia Zanzibar itajenga daraja kutoka kwao kuja Dar.
Je, watawezaje ujenzi huo? Je, ni nini vyanzo vya mapato kwa serikali hiyo?
Tanzania bara wanafaidika na nini na uwepo wa Zanzibar?
Je, ni Lini tutakuwa na serikali moja tu Ili kujua na kuuenzi muungano?
... uchumi wa bluu - blue economy!Nimesikia Zanzibar itajenga daraja kutoka kwao kuja Dar.
Je, watawezaje ujenzi huo? Je, ni nini vyanzo vya mapato kwa serikali hiyo?
Tanzania bara wanafaidika na nini na uwepo wa Zanzibar?
Je, ni Lini tutakuwa na serikali moja tu Ili kujua na kuuenzi muungano?