Playboy
JF-Expert Member
- Aug 11, 2011
- 1,170
- 945
Sina uhakika kama huu uzi uliwai kuwepo au laaah.Kama mtanzania mpenda kujua nini kinaendelea katika nchi yangu ikiwemo kisiasa, kiutamaduni, kiuchumi na kijamii pia, leo nikiwa Arusha nikakuta story inayohusu dayosisi ya kaskazini ikijumisha majimbo ya Arusha na Manyara kama sijakosea kuwa wanadaiwa na benki ya CRDB KIASI CHA BILIONI 13 NA NUSU
Katika hizo story nikasikia kuwa wasipo timiza hilo deni , mali za dayosisi zitapigwa mnada ikiwemo hospitali ya Selian, na hilo deni nasikia limetokana na watu kufanya ufisadi katika moja ya vitega uchumi vya dayosisi hiyo ya hoteli inaitwa Corridor spring,.
So kutokana nilikuwa na haraka sikuweza kujua kisa kizima, nimeleta hapa kwq wanaojua sakata hili, imekuweje mpaka dayosisi inadaiwa kiasi kikubwa hivyo ni nini kilitokea hasa...nawasilisha
Katika hizo story nikasikia kuwa wasipo timiza hilo deni , mali za dayosisi zitapigwa mnada ikiwemo hospitali ya Selian, na hilo deni nasikia limetokana na watu kufanya ufisadi katika moja ya vitega uchumi vya dayosisi hiyo ya hoteli inaitwa Corridor spring,.
So kutokana nilikuwa na haraka sikuweza kujua kisa kizima, nimeleta hapa kwq wanaojua sakata hili, imekuweje mpaka dayosisi inadaiwa kiasi kikubwa hivyo ni nini kilitokea hasa...nawasilisha