Nimeangalia hii clip, nashindwa kuelewa sikuhizi chama kimekosa watu wenye akili au nini tatizo?
mambo ya kitoto na ya kijinga kabisa
mnajitahidi kujenga uhasama na jeshi la Polisi mkipigwa mje kutia huruma kwa wananchi,
tuache kufanya upumbavu siasa haziendi hivyo
kwa hali hii mimi ningekua polisi nikikukamata lazima nikupige kisawasawa
mambo ya kitoto na ya kijinga kabisa
mnajitahidi kujenga uhasama na jeshi la Polisi mkipigwa mje kutia huruma kwa wananchi,
tuache kufanya upumbavu siasa haziendi hivyo
kwa hali hii mimi ningekua polisi nikikukamata lazima nikupige kisawasawa