mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 80,813
- 105,991
Nimeangalia hii clip, nashindwa kuelewa sikuhizi chama kimekosa watu wenye akili au nini tatizo?
mambo ya kitoto na ya kijinga kabisa
mnajitahidi kujenga uhasama na jeshi la Polisi mkipigwa mje kutia huruma kwa wananchi,
tuache kufanya upumbavu siasa haziendi hivyo
kwa hali hii mimi ningekua polisi nikikukamata lazima nikupige kisawasawa
View attachment 2001683
huoni izo ni dhiahaka kabisaHiyo ni copy & paste toka mahakamani.
Yaani hata kuiga tu alichosema polisi ni kosa nchi hii duuuh.
Hakuna dhihaka ni hisia zako tu.huoni izo ni dhiahaka kabisa
Wazee wa mkong'oto wakiwazukia watalalamikaNimeangalia hii clip, nashindwa kuelewa sikuhizi chama kimekosa watu wenye akili au nini tatizo?
mambo ya kitoto na ya kijinga kabisa
mnajitahidi kujenga uhasama na jeshi la Polisi mkipigwa mje kutia huruma kwa wananchi,
tuache kufanya upumbavu siasa haziendi hivyo
kwa hali hii mimi ningekua polisi nikikukamata lazima nikupige kisawasawa
View attachment 2001683
Mzee unachukizwa na nini hapa?? Kuna watu mna matatizo wama vichwani.Nimeangalia hii clip, nashindwa kuelewa sikuhizi chama kimekosa watu wenye akili au nini tatizo?
mambo ya kitoto na ya kijinga kabisa
mnajitahidi kujenga uhasama na jeshi la Polisi mkipigwa mje kutia huruma kwa wananchi,
tuache kufanya upumbavu siasa haziendi hivyo
kwa hali hii mimi ningekua polisi nikikukamata lazima nikupige kisawasawa
View attachment 2001683
Mleta mada ni wale wale😀😀😀Tatizo liko wapi hapo? na una mawazo ya kifala sana, nyie ndio wale mazuzu mliokuwa mnashangilia Bashite alivyokuwa anatishia watu na list yake ya wauza unga na kutishia kuwatia vidole matakoni kuwapima kama ni mashoga
Mtaalaniwa nyie na vizazi vyenu vyote. Toeni mkongoto tu. Kamuulize Jiwe aliko alikuwa anatoa mkongoto si wa nchi hii. Sasa yuko wapi?Wazee wa mkong'oto wakiwazukia watalalamika
Hata sijui.
Huna uhakika na laana yetu! Ila UHAKIKA KWA LAANA YAKO HAUNA UTATA!!!!! Eeeh eeeeeehMtaalaniwa nyie na vizazi vyenu vyote. Toeni mkongoto tu. Kamuulize Jiwe aliko alikuwa anatoa mkongoto si wa nchi hii. Sasa yuko wapi?