Ni Nini Hasa Mwanamke Anahitaji?

Tupe unachofahamu.

Mkuu
Mi naona hili suala ni la kisaikolojia zaidi kuweza kutambua kwanini binadamu haridhiki.
Lakin tukija kuangalia namna ya kumdhibiti huyu mwanadamu na tamaa zake basi ndipo inapokuja inclusion ya imani. kwa maana ya dini.
So dini itamfundisha binadamu aache tamaa kwa kuwa Mungu hapendi
Kwa sababu binadamu ni mali ya Mungu, basi lazima ataogopa sana kumchukiza Mwenyezi Mungu na hivyo atatulia
 

Ukweli halisi anaujua yeye....yawezekana hasemi ukweli halisi na pengine wala hajui kwanini anafanya hivyo....hao wanaume hata wangekuwa mia,wapo wanachompa amabcho hapati kwa mumewe.......:washing:
 
bado ana search apate yule anayemfaa....yawezekana ana list ndefu tu,akimpata yule amatakaye atatulia
Assuming hadi ampate maafa ya maradhi yatakuwa hayajaangukia kaya yake.
 
Assuming hadi ampate maafa ya maradhi yatakuwa hayajaangukia kaya yake.

maradhi labda yamuue,anaweza kupata maradhi hata kabla hajampata na akaendelea na maradhi yake kutafuta anachopata:washing:
 
Just ask specific question, tutaleta majibu yake.


To be fair katika ushauri wa kimahusiano, huwezi toa judgement kwa kutumia information toka upande mmoja. Hata kama hii ni story yako
bado msuluhishi au mtoa ushauri hawezi kutumia maelezo ya upande mmoja. Kila mwamba ngoma ngzi huivutia kwake.

Hata hivyo, wewe umetaka kujua nini mwanamke anahitaji. Umegeneralise. Halafu unataka specific questions. How unfair you are.
Any verdict itakuwa ya kikandamizaji kwa vile unaonekana kutaka kuukandamiza ukweli.
 
Pesa sabuni ya roho mama,money can't buy you happiness but it can make you live comfortably! zikipungua nyumbani mama na mikwaruzo inaongezeka,tena wengine wanabeba na begi kabisaaa na kuupwaka tena kwa visingizio kibao!
 
duh!! mambo yote hayo ni mwanamke tu!!

lbd na ww mkaka unamatatizo tena makubwa tu, haiwezekani eti umfanyie mtu yote hayo alafu bado atoke nje, lbd jogoo lako halipandi!!!
 
Noted with thanks.

Kwa nini wanaamua kufanya hizo njia zao?
Nakutolea mfano mmoja kuna dada mmoja yeye alikuwa anapewa kila kitu na mume wake i mean kila kitu mpaka mumewe alifikia hatua ya kumfungulia biashara lakini still akawa anatoka nje ya ndoa yake, anahonga wanaume hela ambazo ni mumewe anampatia, watu wakimuuliza kwanini unafanya hivyo yeye anasema ndio tabia yake hawezi kubadilika sasa luckly enough siku mume alipokuja kugundua mbaya zaidi ni pale ambapo alikuwa ametembea karibia na every tom dick and harry katika mtaa wanaoishi so sometimes ni hulka ya mtu mwingine ndio inakuwa hivyo
 

I agree:smash:
 
duh!! mambo yote hayo ni mwanamke tu!!

lbd na ww mkaka unamatatizo tena makubwa tu, haiwezekani eti umfanyie mtu yote hayo alafu bado atoke nje, lbd jogoo lako halipandi!!!
Susy wapo wanaopata kila kitu lakini wapi hiyo kwenye red wengi wanatumia kama kisingizio
 
duh!! mambo yote hayo ni mwanamke tu!!

lbd na ww mkaka unamatatizo tena makubwa tu, haiwezekani eti umfanyie mtu yote hayo alafu bado atoke nje, lbd jogoo lako halipandi!!!

jogoo waga anapanda wapi Susy?mi nawaonaga kwenye tambarare tu bandani kwao...kuna wanaopanda milima?....l.o.l:lol:
 

Item No. 6 in the main post refers.
 
Pesa sabuni ya roho mama,money can't buy you happiness but it can make you live comfortably! zikipungua nyumbani mama na mikwaruzo inaongezeka,tena wengine wanabeba na begi kabisaaa na kuupwaka tena kwa visingizio kibao!

Pesa haiwezi kushinda utu Bishanga inapooza tu lakini eti kuwin maisha haiwezi. Sitakubali kupewa mamilion halafu mtu anakudharau na kukutukana kila saa eti kisa pesa akae na mapesa yake huko huko
 
duh!! mambo yote hayo ni mwanamke tu!!

lbd na ww mkaka unamatatizo tena makubwa tu, haiwezekani eti umfanyie mtu yote hayo alafu bado atoke nje, lbd jogoo lako halipandi!!!

Susy nae kwa kuchomekea ishu za MAJOGOO simuwezi
 
Item No. 6 in the main post refers.

6. Mumeo huyo, anakuonyesha mapenzi makubwa usiku na mchana, anakutunza, anakupa kila kitu utakacho, anakupa pesa zozote unazohitaji na kukupeleka popote utakapo nakuridhisha kwa mahitaji yako yote ya kimapenzi, kimwili, kihali na kimali lakini bado hutulii wewe na wanaume tu.


Hii point yako no. 6 sita hainisaidii chochote kama hutaki kuniheshimu na kuona utu wangu uko wapi. Heshima iko wapi hapo, kunisikiliza katika maamuzi iko wapi hapo??? Na huwezi kunipa kila kitu bana
 
Ukweli ni kwamba complete satisfaction is impossible.
Bali kwa hofu ya kumkasirisha Mungu ndio inawezekana kuzuia tamaa zisizo za msingi kwa wanadamu
 
wanawake na wanaume wapo sawa. tabia zao ndio hizohizo wengi wao.
 

I requested ask any specific question ya kukufanya utoe fair judgement I will get answers for u toka kwa weahusika.

Ni nini kigumu kelewa hapo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…